Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hiyo timu imeanza kuonesha viashiri vyote kuwa itarudi yule omary Kuna kitu anakipanda united taratibu taratibu mwanzo wakati tajili anatoa speech zake nilikua namchukulia poa sana ila yule mzee ana vision sana na Moja kati ya speech zake Bora zaidi ni Ile wakati wanazindua project ya uwanja mpya wa old Trafford
Naamini tunaelekea kuzuri sasa dalili zipo wazi.
 
GOAL! Matheus Cunha gets his first goal for United!Man Utd 1-0 Brighton

1761546977143.gif



1761546986371.gif
 
🚨🗣️ Ruben Amorim: "Since the start of the season, the team has been playing much better than last season. We have different players, who are more suited to this type of football, but it's a big difference [to have the full week of training], because it's very difficult for every team playing in Europe. We felt it last season. It's a big advantage to have just one game a week and we have to take advantage of it."

Deliver that trophy coach. 👀🏆
 
🚨🗣️ Ruben Amorim: "Since the start of the season, the team has been playing much better than last season. We have different players, who are more suited to this type of football, but it's a big difference [to have the full week of training], because it's very difficult for every team playing in Europe. We felt it last season. It's a big advantage to have just one game a week and we have to take advantage of it."

Deliver that trophy coach. 👀🏆
Mmeanza kuota mapembe, trophy ipi tena
 
Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko.

najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi.

mechi iliisha kwa sare ya 2_2
 
Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko.

najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi.

mechi iliisha kwa sare ya 2_2
 
Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko.

najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi.

mechi iliisha kwa sare ya 2_2
 
Livakuku amepigwa mechi nne mfululizo na wewe manjesta umeshinda mechi kadhaa hapo bado huyo kuku amekaa nafasi ya Tatu hahahaha nacheka kama mazuri vileee😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom