Calm downMkishinda kelele ni nyingi mno, mpigwe sasa 😂 mazuri ya makocha na wachezaji yanafutika ghafla
Pia Na nyie mkipigwa, m-calm downCalm down
Mech ijayo mnaminywa tena.Pia Na nyie mkipigwa, m-calm down
Hatari Sana, Mainoo unamuona kabisa Pace ilimkataa.Ndio ujue kule benchi hatuna sub za maana inabidi usajili ufanyike tena
Nani wakutufungaMkishinda kelele ni nyingi mno, mpigwe sasa 😂 mazuri ya makocha na wachezaji yanafutika ghafla
Hakuna WA kuwafunga, ndo mana msimu huu mnaongoza ligi huku hamjafungwa mechi hata moja 😂Nani wakutufunga
Ile timu pale hata city na aseno wakiomba marudio leo hawatufungi
Hiyo timu imeanza kuonesha viashiri vyote kuwa itarudi yule omary Kuna kitu anakipanda united taratibu taratibu mwanzo wakati tajili anatoa speech zake nilikua namchukulia poa sana ila yule mzee ana vision sana na Moja kati ya speech zake Bora zaidi ni Ile wakati wanazindua project ya uwanja mpya wa old TraffordWakuu ndo tunaamka,,yaan hii timu itatuua na hizi raha jamani.!
Kabisa sheheHakuna WA kuwafunga, ndo mana msimu huu mnaongoza ligi huku hamjafungwa mechi hata moja 😂
Badili jina ujiite united ya amorimHiyo timu imeanza kuonesha viashiri vyote kuwa itarudi yule omary Kuna kitu anakipanda united taratibu taratibu mwanzo wakati tajili anatoa speech zake nilikua namchukulia poa sana ila yule mzee ana vision sana na Moja kati ya speech zake Bora zaidi ni Ile wakati wanazindua project ya uwanja mpya wa old Trafford
Hahaaa Mimi na muenzi tu babu kwa mchango wakeBadili jina ujiite united ya amorim
Naamini tunaelekea kuzuri sasa dalili zipo wazi.Hiyo timu imeanza kuonesha viashiri vyote kuwa itarudi yule omary Kuna kitu anakipanda united taratibu taratibu mwanzo wakati tajili anatoa speech zake nilikua namchukulia poa sana ila yule mzee ana vision sana na Moja kati ya speech zake Bora zaidi ni Ile wakati wanazindua project ya uwanja mpya wa old Trafford