Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bora point tatu Kwanza, hawa Jamaa Sunderland nilitegemea watatusumbua Sana kwenye side to side na mipira mirefu na Bahati nzuri hawajapata hiyo nafasi ya mipira mirefu na hata mchezo wao hawakufanikiwa kuucheza, hii ni nzuri, inabidi tujikaze hivyo hivyo then tupate viungo, hakuna kiungo hata mmoja wa Kati Hadi sasa anaye match na mfumo. Kingine tutalia na ule upande wa kushoto, Dorgu bado hajaweza kumwaga mpira Hadi ukamwagika, akipiga krosi itapiga mabeki au kupishana na washambuliaji...

Sisi tunachohitaji cha Kwanza ni kujiamini, ukishajiamini hata intensity itaongezeka. At least mount amemuonesha Cunha namna ya kupiga baadhi ya mipira...kuna positives to take.
 
I might be wrong, but Senne Lammens already looks like the upgrade United have been crying out for after years of goalkeeping misery with Onana and Bayındır.

For over two seasons, corners and crosses felt like penalties against us, nervy claims, hesitations, no authority in the box.

But today, in just one debut, Lammens showed what commanding goalkeeping actually looks like.

He came off his line, rose above the crowd, attacked the ball with confidence, and made the box his territory.

That alone changes everything, defenders trust him, the panic is gone, and strikers think twice about challenging.

Interestingly, lammens now has 1 clean sheet in just 1 game for Manchester United, same with Altay Bayindir in 10 games.

A perfect start. ❤️💪

#fblifestyle
 
Bora point tatu Kwanza, hawa Jamaa Sunderland nilitegemea watatusumbua Sana kwenye side to side na mipira mirefu na Bahati nzuri hawajapata hiyo nafasi ya mipira mirefu na hata mchezo wao hawakufanikiwa kuucheza, hii ni nzuri, inabidi tujikaze hivyo hivyo then tupate viungo, hakuna kiungo hata mmoja wa Kati Hadi sasa anaye match na mfumo. Kingine tutalia na ule upande wa kushoto, Dorgu bado hajaweza kumwaga mpira Hadi ukamwagika, akipiga krosi itapiga mabeki au kupishana na washambuliaji...

Sisi tunachohitaji cha Kwanza ni kujiamini, ukishajiamini hata intensity itaongezeka. At least mount amemuonesha Cunha namna ya kupiga baadhi ya mipira...kuna positives to take.
Mnajisahau sana.

Timu bovu hilo.
 
Sawa.

Tukutane tarehe 19.
Utafanya nini.
Kocha la project amorin.
Na tuna project ya kuchukua EPL 2028.
hatuwezi kuwa na project afu tuwe na kiherehere Cha kufukuza makocha.
United tunatafuta midfield wazuri, na beki nzuri. Dirisha dogo na kubwa tutakuwa tushajaza hizi nafasi.
Na Bado tuna nafasi ya kumaliza top four.

Binafsi Kwa wakati huu hatubahatishi kucheza ni tunapanga kucheza
 
Utafanya nini.
Kocha la project amorin.
Na tuna project ya kuchukua EPL 2028.
hatuwezi kuwa na project afu tuwe na kiherehere Cha kufukuza makocha.
United tunatafuta midfield wazuri, na beki nzuri. Dirisha dogo na kubwa tutakuwa tushajaza hizi nafasi.
Na Bado tuna nafasi ya kumaliza top four.

Binafsi Kwa wakati huu hatubahatishi kucheza ni tunapanga kucheza
Kweli kuwashika akili nyie ni rahisi sana.
 
🎙 " Kama Glazers wangenambia nimfukuze kazi Reben Amorim nisingeweza kufanya hivyo bali ningeomba wampe muda zaidi".

" Ruben Amorim hajapata muda wakutosha kuunda timu yake bora Anahitaji muda angalau miaka mitatu kutupa mafanikio"..

" Vyombo vya habari vya Uingereza sivielewi vinataka nini kwani wanaamini mafanikio huja kama swichi ya Umeme ukiwasha tu Mwanga unatokea, Huwezi kuendesha timu kama Man United ukasikiliza hisia za waandishi wa habari hautafanikiwa kwa hilo"

🗣️ Sir Jim Ratcliffe
 
Glory days are coming mkuu. Usiwe kama masingeli wa arsenal.
Naingoja kwa ham.
Maana tangu Manchester United iwe mbovu nashindwa kufatilia mpira kwa ujumla.
Hata UCL miaka ya siku hizi siifatilii.

Naomba sana chama langu lirudi kwenye ubora, lakini sioni matumaini.
 
Kwa sababu kama zako, jukwaa limewapoteza malejendari wengi sana, wengine hadi ID wamebadilisha kabisa
Naingoja kwa ham.
Maana tangu Manchester United iwe mbovu nashindwa kufatilia mpira kwa ujumla.
Hata UCL miaka ya siku hizi siifatilii.

Naomba sana chama langu lirudi kwenye ubora, lakini sioni matumaini.
 
Endeleeni kutuwakilisha makamanda, sie wengine tuna myoyo ya plastic.
Chama likirudi kwenye ubora, tutakua wote.
Mchizi boti unayumba, mwanaume akimbii majukumu, kuwa shabiki la manyumbu ni jukumu lako hivyo usikimbie,, hahaha hili timu ndio ulilipenda hivyo kifa naloo haha mchizz botiiiiii
 
Back
Top Bottom