Bora point tatu Kwanza, hawa Jamaa Sunderland nilitegemea watatusumbua Sana kwenye side to side na mipira mirefu na Bahati nzuri hawajapata hiyo nafasi ya mipira mirefu na hata mchezo wao hawakufanikiwa kuucheza, hii ni nzuri, inabidi tujikaze hivyo hivyo then tupate viungo, hakuna kiungo hata mmoja wa Kati Hadi sasa anaye match na mfumo. Kingine tutalia na ule upande wa kushoto, Dorgu bado hajaweza kumwaga mpira Hadi ukamwagika, akipiga krosi itapiga mabeki au kupishana na washambuliaji...
Sisi tunachohitaji cha Kwanza ni kujiamini, ukishajiamini hata intensity itaongezeka. At least mount amemuonesha Cunha namna ya kupiga baadhi ya mipira...kuna positives to take.
Sisi tunachohitaji cha Kwanza ni kujiamini, ukishajiamini hata intensity itaongezeka. At least mount amemuonesha Cunha namna ya kupiga baadhi ya mipira...kuna positives to take.