Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sesko ni tapeli

€90m

Ana goli 1 la papatupapatu

Anafata nyayo za Weghorst

Mechi 50

G/A 1
 
Hojlund >>>>>>>>>>>Mobutu Seseko
Kuna siku naangalia game ya nyumbu, pia nikaona ten hag ni bora sana kuliko huyu amorim

1 ten hag = 15 amorim

Divide by 15 both sides

(Ten hag)÷15 = amorim

Hii timu inaweza kushuka daraja msimu huu
 
Kuna siku naangalia game ya nyumbu, pia nikaona ten hag ni bora sana kuliko huyu amorim

1 ten hag = 15 amorim

Divide by 15 both sides

(Ten hag)÷15 = amorim

Hii timu inaweza kushuka daraja msimu huu
Na ndio kitu nataka twende huko mafichoni tukaanze moja
 
Hii timu imeshajifia kazi yake kuharibu vipaji vya makocha na wachezaji. Marcus Rashfold is now doing fine pale Barcelona.
 
Lammens ameanza golini, huku Cunha, Dorgu na Maguire wakianzia benchi baada ya mchezo wa Brentford

Tutatoboa hapa kweli?
IMG_8236.jpeg
 
Kikosi kakamavu shababi watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys leo tena kukiwasha.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
 

Attachments

  • 1759583393303.jpg
    1759583393303.jpg
    108 KB · Views: 17
Kikosi kakamavu shababi watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys leo tena kukiwasha.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
Mzee tambi tambi (allypipi). Bora Leo hujatoa tabiri zako.
 
Kikosi kakamavu shababi watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys leo tena kukiwasha.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Watu tulikua tunasubiri utabiri

Mzee umeona isiwe kesi, acha nipite kavu tu
 
Nilichogundua tatizo kubwa kwenye timu yetu lilikuwa linaanza na makipa kupenda kupiga pass fupi fupi kwa mabeki hivyo kufanya wapinzani kujipanga vizuri na viuongo kukosa utulivu. Leo huyu kipa hakuwa na mida wakupiga pas kwa beki yeye alipiga mipira mirefu kwa Zesko au Mbeumo kitu ambacho kimewasimbua sana mabeki wa Sunderland ikiwa ataendelea kucheza hivi basi timu itashusha pressure has kwenyr hizi mechi ndogo ndogo na tutashambulia sana.
 
Bora point tatu Kwanza, hawa Jamaa Sunderland nilitegemea watatusumbua Sana kwenye side to side na mipira mirefu na Bahati nzuri hawajapata hiyo nafasi ya mipira mirefu na hata mchezo wao hawakufanikiwa kuucheza, hii ni nzuri, inabidi tujikaze hivyo hivyo then tupate viungo, hakuna kiungo hata mmoja wa Kati Hadi sasa anaye match na mfumo. Kingine tutalia na ule upande wa kushoto, Dorgu bado hajaweza kumwaga mpira Hadi ukamwagika, akipiga krosi itapiga mabeki au kupishana na washambuliaji...

Sisi tunachohitaji cha Kwanza ni kujiamini, ukishajiamini hata intensity itaongezeka. At least mount amemuonesha Cunha namna ya kupiga baadhi ya mipira...kuna positives to take.
 
I might be wrong, but Senne Lammens already looks like the upgrade United have been crying out for after years of goalkeeping misery with Onana and Bayındır.

For over two seasons, corners and crosses felt like penalties against us, nervy claims, hesitations, no authority in the box.

But today, in just one debut, Lammens showed what commanding goalkeeping actually looks like.

He came off his line, rose above the crowd, attacked the ball with confidence, and made the box his territory.

That alone changes everything, defenders trust him, the panic is gone, and strikers think twice about challenging.

Interestingly, lammens now has 1 clean sheet in just 1 game for Manchester United, same with Altay Bayindir in 10 games.

A perfect start. ❤️💪

#fblifestyle
 
Bora point tatu Kwanza, hawa Jamaa Sunderland nilitegemea watatusumbua Sana kwenye side to side na mipira mirefu na Bahati nzuri hawajapata hiyo nafasi ya mipira mirefu na hata mchezo wao hawakufanikiwa kuucheza, hii ni nzuri, inabidi tujikaze hivyo hivyo then tupate viungo, hakuna kiungo hata mmoja wa Kati Hadi sasa anaye match na mfumo. Kingine tutalia na ule upande wa kushoto, Dorgu bado hajaweza kumwaga mpira Hadi ukamwagika, akipiga krosi itapiga mabeki au kupishana na washambuliaji...

Sisi tunachohitaji cha Kwanza ni kujiamini, ukishajiamini hata intensity itaongezeka. At least mount amemuonesha Cunha namna ya kupiga baadhi ya mipira...kuna positives to take.
Mnajisahau sana.

Timu bovu hilo.
 
Back
Top Bottom