Kuna siku naangalia game ya nyumbu, pia nikaona ten hag ni bora sana kuliko huyu amorimHojlund >>>>>>>>>>>Mobutu Seseko
Na ndio kitu nataka twende huko mafichoni tukaanze mojaKuna siku naangalia game ya nyumbu, pia nikaona ten hag ni bora sana kuliko huyu amorim
1 ten hag = 15 amorim
Divide by 15 both sides
(Ten hag)÷15 = amorim
Hii timu inaweza kushuka daraja msimu huu
Na ndio kitu nataka twende huko mafichoni tukaanze moja

aHii timu imeshajifia kazi yake kuharibu vipaji vya makocha na wachezaji. Marcus Rashfold is now doing fine pale Barcelona.
Mzee tambi tambi (allypipi). Bora Leo hujatoa tabiri zako.Kikosi kakamavu shababi watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys leo tena kukiwasha.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
Watu tulikua tunasubiri utabiriKikosi kakamavu shababi watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys leo tena kukiwasha.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha![]()
![]()


Mnajisahau sana.Bora point tatu Kwanza, hawa Jamaa Sunderland nilitegemea watatusumbua Sana kwenye side to side na mipira mirefu na Bahati nzuri hawajapata hiyo nafasi ya mipira mirefu na hata mchezo wao hawakufanikiwa kuucheza, hii ni nzuri, inabidi tujikaze hivyo hivyo then tupate viungo, hakuna kiungo hata mmoja wa Kati Hadi sasa anaye match na mfumo. Kingine tutalia na ule upande wa kushoto, Dorgu bado hajaweza kumwaga mpira Hadi ukamwagika, akipiga krosi itapiga mabeki au kupishana na washambuliaji...
Sisi tunachohitaji cha Kwanza ni kujiamini, ukishajiamini hata intensity itaongezeka. At least mount amemuonesha Cunha namna ya kupiga baadhi ya mipira...kuna positives to take.