Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Shida ni nini saikolojia ama maana hii timu ni kubwa kuliko wao wanavyofikiria kabla hawajasajiliwa
Nafikiri kisaikolojia wachezaji wote hawapo sawa, ukiwatazama uwanjani ni kama wote huwa wanapigwa na butwaa hawajui nini wanatakiwa kufanya.

Pia inaonekana wameshindwa kuhimili presha ya mashabiki na wachambuzi, hii imewafanya wawe waoga sana ndani ya uwanja na ndio maana wote wanaogopa hata kujaribu kutembea na mpira na kujaribu kutengeneza nafasi, hebu muangalie Mbuemo wa MUFC halafu rudi ukamtazame wa msimu uliopita utaona tofauti, amekuwa muoga hata kujaribu yale mambo yake. Cunha nae naona anajaribu kufanya vitu vyake ila muda sio mrefu ataanza kuwa muoga.

Uoga na kutokujiamini kumefanya wachezaji wetu waishie kwenye mbinu za kocha tu, wanaishia kupiga vipasi ambavyo havina maana wala havina uelekeo na wakiwa na mpira unajua kabisa sekunde wanaporwa.
 
Mpira wa leo ni arteta peke yake kavumiliwa huu unaenda mwaka sita nadhani sisi uwezo wa kumvumilia kocha misimu mitatu tu ni mtihani
Arteta hata kama mimi ndio ningekuwa mfanya maamuzi pale Arsenal, ningeendelea kumvumilia. Unamvumulia kocha ambaye unaona kabisa timu yake ina mabadiliko na inaspirit ya ushindi. Kwa MUFC hadithi ni tofauti, timu haieleweki, kocha ni mbishi hana mbinu nyingine, hawezi hata kujaribu kubadili mfumo wake akaona kama tatizo ni mfumo au ni wachezaji wake.

Arteta anavumilika kabisa kwakuwa kuna kitu unaona anafanya na pengine anaweza kupambania ubingwa.
 
Nafikiri kisaikolojia wachezaji wote hawapo sawa, ukiwatazama uwanjani ni kama wote huwa wanapigwa na butwaa hawajui nini wanatakiwa kufanya.

Pia inaonekana wameshindwa kuhimili presha ya mashabiki na wachambuzi, hii imewafanya wawe waoga sana ndani ya uwanja na ndio maana wote wanaogopa hata kujaribu kutembea na mpira na kujaribu kutengeneza nafasi, hebu muangalie Mbuemo wa MUFC halafu rudi ukamtazame wa msimu uliopita utaona tofauti, amekuwa muoga hata kujaribu yale mambo yake. Cunha nae naona anajaribu kufanya vitu vyake ila muda sio mrefu ataanza kuwa muoga.

Uoga na kutokujiamini kumefanya wachezaji wetu waishie kwenye mbinu za kocha tu, wanaishia kupiga vipasi ambavyo havina maana wala havina uelekeo na wakiwa na mpira unajua kabisa sekunde wanaporwa.
Siku tutakayoshinda mechi tano mfululizo naamini confidence na kujiamini kwa hii timu kutarudi mahala pake
 
Flano upo wapi kamanda , Manjesta inateketea

Ruben Amorin anaingia kwenye historia ya kuwa kocha wa ovyo na mbovu kuliko wote waliowahi kupita Manjesta yanited

Imagine Kuna kocha alipotelewa kikosi chote kwa ajali ya ndege ,lakin ana winning percentage kubwa kuliko Amorini


Sikuwahi kujua Manjesta itapata kocha mbovu kuliko ETH

Amorin hawezi kushinda mechi 2 mfululizo
 
Amorin inatakiwa mechi ijayo ashinde ,why?

Ili aendelee kuwachanganya mabos wa Manjesta kina Berada na Sir Jimmy

Wakija kushtuka ana mechi 38 points 37

Maana Amorini akishinda mechi moja inayokuja lazima alambwe au sare ,

Anabalance record yake ya

0.8-1point per game
 
Sajili Nying Zenye Makelele Na Mivutano,Mara Zote Huwa Zinaishia Kuwa Za Kitapeli
*Sesko
*Florian Wirtz
*Isak Lukaku
* Gittens
*Mbeumo
*Cherki
*
*

Malizia Na Wewe Mdau..?
 
Ripoti ya Jana

Utopolo timu yangu imedroo
Liverkuku katandikwa
Ng'ombe kaponea chupuchupu
Eze na Timber wanacheza leo

Mungu bariki wengine Sasa😎
 
Amorin inatakiwa mechi ijayo ashinde ,why?

Ili aendelee kuwachanganya mabos wa Manjesta kina Berada na Sir Jimmy

Wakija kushtuka ana mechi 38 points 37

Maana Amorini akishinda mechi moja inayokuja lazima alambwe au sare ,

Anabalance record yake ya

0.8-1point per game
🤣 umerudi kwenye soka tena
 
Before Erik ten Hag left Manchester United, I said the next manager needs to improve the attack first and behold, Ruben Amorim did exactly that.

He’s fixing it. He’s fixed the attack. The reason he brought Fernandes deep is because he’s trying the fix the midfield, but many people are not understanding it.

The midfield is the same as the one Ten Hag used and couldn’t control games.

Don’t act like you didn’t see Man Utd try to sign Carlos Baleba.

And you wonder why he’s also using Amad at right-back when he has Mazraoui and Dalot.

Ruben Amorim is getting crucified for trying to fix what he didn’t break.

He’s a good coach. The results are as a result of errors at the back, an area he hasn’t improved yet.

I see things. Amorim isn’t at fault in anyway. He’s just a victim for crime he didn’t commit.

The results are not good, but the attack excites you. Imagine when he touches the midfield in January and get Martinez back from injury.

Again; if you must criticise the manager, ensure the team isn’t creating chances to win games and making howlers at the back.
 
Toka aondoke hakuna kocha aliewahi kugombeza player akikosea wote waliishia kuwaangalia tu
 

Attachments

  • _storage_emulated_0_Android_data_com.fawazapp.blackhole_files_DCIM_blackhole_Y2BZD5X6TZ.mp4
    1.6 MB
🤣🤣🤣 Daaahhh ila Masingeli una kelele mingi sana ndugu yangu, halafu ni muoga kama kunguru.
😂😂😂Mm sio muoga ,

Amorini mnae had mwisho wa msimu, nimejulishwa na Sir Jim
 
Back
Top Bottom