Shida ni nini saikolojia ama maana hii timu ni kubwa kuliko wao wanavyofikiria kabla hawajasajiliwa
Mpira wa leo ni arteta peke yake kavumiliwa huu unaenda mwaka sita nadhani sisi uwezo wa kumvumilia kocha misimu mitatu tu ni mtihani
Siku tutakayoshinda mechi tano mfululizo naamini confidence na kujiamini kwa hii timu kutarudi mahala pakeNafikiri kisaikolojia wachezaji wote hawapo sawa, ukiwatazama uwanjani ni kama wote huwa wanapigwa na butwaa hawajui nini wanatakiwa kufanya.
Pia inaonekana wameshindwa kuhimili presha ya mashabiki na wachambuzi, hii imewafanya wawe waoga sana ndani ya uwanja na ndio maana wote wanaogopa hata kujaribu kutembea na mpira na kujaribu kutengeneza nafasi, hebu muangalie Mbuemo wa MUFC halafu rudi ukamtazame wa msimu uliopita utaona tofauti, amekuwa muoga hata kujaribu yale mambo yake. Cunha nae naona anajaribu kufanya vitu vyake ila muda sio mrefu ataanza kuwa muoga.
Uoga na kutokujiamini kumefanya wachezaji wetu waishie kwenye mbinu za kocha tu, wanaishia kupiga vipasi ambavyo havina maana wala havina uelekeo na wakiwa na mpira unajua kabisa sekunde wanaporwa.
Labda mje kushiriki NBC premier league na msikutane na simba na yanga, hata singida au azam pia😄🤣Siku tutakayoshinda mechi tano mfululizo naamini confidence na kujiamini kwa hii timu kutarudi mahala pake
Man U vs Mbarara City FcSiku tutakayoshinda mechi tano mfululizo naamini confidence na kujiamini kwa hii timu kutarudi mahala pake
🤣 umerudi kwenye soka tenaAmorin inatakiwa mechi ijayo ashinde ,why?
Ili aendelee kuwachanganya mabos wa Manjesta kina Berada na Sir Jimmy
Wakija kushtuka ana mechi 38 points 37
Maana Amorini akishinda mechi moja inayokuja lazima alambwe au sare ,
Anabalance record yake ya
0.8-1point per game
😅😅😅 Kwamba Mungu abariki na wengine, arsenal raha ni nyingi.Ripoti ya Jana
Utopolo timu yangu imedroo
Liverkuku katandikwa
Ng'ombe kaponea chupuchupu
Eze na Timber wanacheza leo
Mungu bariki wengine Sasa😎
Jukwaa la komed si hili hapa la ManjestaSikuoni kwenye jukwaa la komedi 😁 uwape tathimini ya supa kompyuta
😂😂😂Mm sio muoga ,🤣🤣🤣 Daaahhh ila Masingeli una kelele mingi sana ndugu yangu, halafu ni muoga kama kunguru.