Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Toka aondoke hakuna kocha aliewahi kugombeza player akikosea wote waliishia kuwaangalia tu
 

Attachments

  • _storage_emulated_0_Android_data_com.fawazapp.blackhole_files_DCIM_blackhole_Y2BZD5X6TZ.mp4
    1.6 MB
🤣🤣🤣 Daaahhh ila Masingeli una kelele mingi sana ndugu yangu, halafu ni muoga kama kunguru.
😂😂😂Mm sio muoga ,

Amorini mnae had mwisho wa msimu, nimejulishwa na Sir Jim
 
Sesko ni tapeli

€90m

Ana goli 1 la papatupapatu

Anafata nyayo za Weghorst

Mechi 50

G/A 1
 
Hojlund >>>>>>>>>>>Mobutu Seseko
Kuna siku naangalia game ya nyumbu, pia nikaona ten hag ni bora sana kuliko huyu amorim

1 ten hag = 15 amorim

Divide by 15 both sides

(Ten hag)÷15 = amorim

Hii timu inaweza kushuka daraja msimu huu
 
Kuna siku naangalia game ya nyumbu, pia nikaona ten hag ni bora sana kuliko huyu amorim

1 ten hag = 15 amorim

Divide by 15 both sides

(Ten hag)÷15 = amorim

Hii timu inaweza kushuka daraja msimu huu
Na ndio kitu nataka twende huko mafichoni tukaanze moja
 
Hii timu imeshajifia kazi yake kuharibu vipaji vya makocha na wachezaji. Marcus Rashfold is now doing fine pale Barcelona.
 
Lammens ameanza golini, huku Cunha, Dorgu na Maguire wakianzia benchi baada ya mchezo wa Brentford

Tutatoboa hapa kweli?
IMG_8236.jpeg
 
Kikosi kakamavu shababi watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys leo tena kukiwasha.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
 

Attachments

  • 1759583393303.jpg
    1759583393303.jpg
    108 KB · Views: 24
Kikosi kakamavu shababi watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys leo tena kukiwasha.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
Mzee tambi tambi (allypipi). Bora Leo hujatoa tabiri zako.
 
Kikosi kakamavu shababi watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys leo tena kukiwasha.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Watu tulikua tunasubiri utabiri

Mzee umeona isiwe kesi, acha nipite kavu tu
 
Nilichogundua tatizo kubwa kwenye timu yetu lilikuwa linaanza na makipa kupenda kupiga pass fupi fupi kwa mabeki hivyo kufanya wapinzani kujipanga vizuri na viuongo kukosa utulivu. Leo huyu kipa hakuwa na mida wakupiga pas kwa beki yeye alipiga mipira mirefu kwa Zesko au Mbeumo kitu ambacho kimewasimbua sana mabeki wa Sunderland ikiwa ataendelea kucheza hivi basi timu itashusha pressure has kwenyr hizi mechi ndogo ndogo na tutashambulia sana.
 
Back
Top Bottom