CHAPO UNIQ
Member
- May 9, 2025
- 54
- 67
Man U kesho nawabetia tafadhali sana Msiniangushe. Nitampa Burnley ashinde. Naomba mfanye kama mlivyofanya kwa fulam na mfanye zaidi
Shikilia hapohapo Onana😀😀View attachment 3457323
HAONDOKI NG'OOOO
Kwa hali ilivyo hapo hata ungesema Manchester United vs ruvu shooting bado tungefungwa tu, kwakweli hii club cjui tu imelogwa na nani!Hizi fixtures mbona kama zimekaa kimkakati sana
Vasco da Gama kweli atatoboa salama hapa? View attachment 3457442
Aondoke akale wapi 😂View attachment 3457323
HAONDOKI NG'OOOO
Shangaa na weweAondoke akale wapi 😂


Nimetoka kuangalia interview ya Vasco da Gama, kama binaadamu wa kawaida nimejikuta nimemhurumia sana.