Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yeye na sesko wapo daraja moja Kama mlikuwa mnataka striker mzuri wa uhakika mngeenda kwa Osimen au isak huyo Sesko Hana consistency performance game chache atafanya vizuri zingine ataharibu mmetumia pesa nyingi kwa mchezaji wa kawaida
Si furaha kwenu, ama?
 
Si furaha kwenu, ama?
Mimi naongelea kimpira si kimapenzi we umeona nimemuongelea vibaya Gyogerez kwenye ile game yake ya Kwanza alivyocheza ni kwasababu Kuna daraja kalitengeneza ndio maana ilikuwa ni mapema kumkosoa Sasa huyo Sesko ni daraja lipi kalitengeneza lakufanya uwe na matumaini naye makubwa ndipo ambapo ninawashangaa mashabiki wa man u
 
Mimi naongelea kimpira si kimapenzi we umeona nimemuongelea vibaya Gyogerez kwenye ile game yake ya Kwanza alivyocheza ni kwasababu Kuna daraja kalitengeneza ndio maana ilikuwa ni mapema kumkosoa Sasa huyo Sesko ni daraja lipi kalitengeneza lakufanya uwe na matumaini naye makubwa ndipo ambapo ninawashangaa mashabiki wa man u
Technical director wanajua wanachokifanya.
Mchezaji ni kamali.
 
Hao hao si ndio waliomsajili woghost na Anthony
Checheche😂😂😂😂😂😂😂
Hapana — Antony na Wout Weghorst hawakusajiliwa chini ya uongozi wa sasa wa INEOS au Omar Berrada ( CEO) from man city.
Jason wilcox ( technical director) kaja mwaka huu mzee baba.


Hao ulio wataja ni uongozi uliopita ambayo kwa sasa walishaondoshwa.
 
Checheche😂😂😂😂😂😂😂
Hapana — Antony na Wout Weghorst hawakusajiliwa chini ya uongozi wa sasa wa INEOS au Omar Berrada ( CEO) from man city.
Jason wilcox ( technical director) kaja mwaka huu mzee baba.


Hao ulio wataja ni uongozi uliopita ambayo kwa sasa walishaondoshwa.
Hao technical director wao ni binadamu huwa wanakosea usiwaamini moja kwa moja
 
Hao technical director wao ni binadamu huwa wanakosea usiwaamini moja kwa moja
Basi ndio tunazungumzia
Kamali, kwani wakati mnamsajili jackson si mlikuwa na matumaini atafanya vizuri then what?
Vipi sesko akija huku akafanya vizuri?
Kwasabab bado umri una ruhusu?

Tunarudi pale pale kila kitu ni kamali.
 
Pray for Man Utd
1754914412671.jpg
 
Back
Top Bottom