Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yeye na sesko wapo daraja moja Kama mlikuwa mnataka striker mzuri wa uhakika mngeenda kwa Osimen au isak huyo Sesko Hana consistency performance game chache atafanya vizuri zingine ataharibu mmetumia pesa nyingi kwa mchezaji wa kawaida
Bundesliga aisee si mchezo siwaamini sana 😂...Kuna Werner jumla ya goli alizofunga bundelsiga n zaidi ya 60..alivyokuja epl Sasa😂....Kuna mwamba anaitwa taiwo awoniyi huyu mwamba Kuna Msimu alifunga goli 15 akiwa bundesliga lkn Msimu wa mwaka Jana epl akiwa na Nottingham forest kafunga goli moya 😂😂tu sijui alipata majeraha au vipi..mifano mingine kina weghost
 
Paundi million 60
tapatalk_1699576378237.jpeg
 
Yeye na sesko wapo daraja moja Kama mlikuwa mnataka striker mzuri wa uhakika mngeenda kwa Osimen au isak huyo Sesko Hana consistency performance game chache atafanya vizuri zingine ataharibu mmetumia pesa nyingi kwa mchezaji wa kawaida
Halaand vp mkuu? Mbona kafanikiwa EPL kutokea budesliga.
Then de gea anaweza kuja united kumbuka ni biashara na project sio mapenzi na Bado tunampa heshima ya legend, lkn nadhani donaruma na Martinez ndio Wana nafasi ya juu kujiunga nasi

Huu mfumo wetu. Haumtaki Bruno acheze katikati kwenye Ile 4 ( 3: 4: 2: 1) ya kati, timu inakosa balance kwenye ukabaji Kwa sababu sio namba nane, sio namba sita na Hana sifa za ukabaji Wala speed ya kukaba nafasi na mtu.

Bora pale amuweke ugarte na baleba.
Afu cunha na fernades wanakuwa wacheze position Moja kwenye Ile 2 ya juu ( 3: 4: 2: 1).
 
Halaand vp mkuu? Mbona kafanikiwa EPL kutokea budesliga.
Then de gea anaweza kuja united kumbuka ni biashara na project sio mapenzi na Bado tunampa heshima ya legend, lkn nadhani donaruma na Martinez ndio Wana nafasi ya juu kujiunga nasi

Huu mfumo wetu. Haumtaki Bruno acheze katikati kwenye Ile 4 ( 3: 4: 2: 1) ya kati, timu inakosa balance kwenye ukabaji Kwa sababu sio namba nane, sio namba sita na Hana sifa za ukabaji Wala speed ya kukaba nafasi na mtu.

Bora pale amuweke ugarte na baleba.
Afu cunha na fernades wanakuwa wacheze position Moja kwenye Ile 2 ya juu ( 3: 4: 2: 1).
Huyu sesko kamaliza ligi na goal 13 kwenye ligi nyepesi Kama ya bundesliga Halland alikuwa anapiga goal 30 huwezi kumfananisha na huyo Sesko Mimi nawaambia ukweli mnaleta ushabiki Sesko ni mchezaji wa kawaida ni Bora mngemchukua Jackson angewaoffer vitu ni mchezaji ambaye tayari ameshacheza ligi ngumu hii ya EPL naametupia goal 14 na assist 6, magoal 14 ya EPL yanathamini kulingana na ubora wa ligi kuliko magoal 13 ya Sesko
 
Huyu sesko kamaliza ligi na goal 13 kwenye ligi nyepesi Kama ya bundesliga Halland alikuwa anapiga goal 30 huwezi kumfananisha na huyo Sesko Mimi nawaambia ukweli mnaleta ushabiki Sesko ni mchezaji wa kawaida ni Bora mngemchukua Jackson angewaoffer vitu ni mchezaji ambaye tayari ameshacheza ligi ngumu hii ya EPL naametupia goal 14 na assist 6, magoal 14 ya EPL yanathamini kulingana na ubora wa ligi kuliko magoal 13 ya Sesko
ukweli mchungu huu, Maiko Jackson angewafaa sana. Ben mwanseko ni kama Timo Werner tu
 
Huyu sesko kamaliza ligi na goal 13 kwenye ligi nyepesi Kama ya bundesliga Halland alikuwa anapiga goal 30 huwezi kumfananisha na huyo Sesko Mimi nawaambia ukweli mnaleta ushabiki Sesko ni mchezaji wa kawaida ni Bora mngemchukua Jackson angewaoffer vitu ni mchezaji ambaye tayari ameshacheza ligi ngumu hii ya EPL naametupia goal 14 na assist 6, magoal 14 ya EPL yanathamini kulingana na ubora wa ligi kuliko magoal 13 ya Sesko
Mwamba hili povu lote linakutoka kwa sababu tu msimu huu tumegoma kununua bidhaa zenu chakavu?
Kiufupi nyie ni matapeli na hatuna mpango wowote wa kununua wachezaji wenu, tena mlivyo na roho mbovu mlikua mnatushawishi na kutushinikiza kabisa tumnunue Nkunku na Jaskon dirisha hili.
Hivi nyie Chelkenge hua mnatuchukuliaje?
Endeleeni kuwapiga haohao Arsenyau, sisi tayari tumeshawashtukia janja yenu mazulumati nyie.
1747661742053.jpg
 
Mwamba hili povu lote linakutoka kwa sababu tu msimu huu tumegoma kununua bidhaa zenu chakavu?
Kiufupi nyie ni matapeli na hatuna mpango wowote wa kununua wachezaji wenu, tena mlivyo na roho mbovu mlikua mnatushawishi na kutushinikiza kabisa tumnunue Nkunku na Jaskon dirisha hili.
Hivi nyie Chelkenge hua mnatuchukuliaje?
Endeleeni kuwapiga haohao Arsenyau, sisi tayari tumeshawashtukia janja yenu mazulumati nyie. View attachment 3437304
dah!, aisee ile heshima kwa bingwa wa dunia imepotea kabisa
 
dah!, aisee ile heshima kwa bingwa wa dunia imepotea kabisa
Kwa hiyo kwa kua nyie ni mabingwa wa dunia basi tuwaache tu muendelee kutufanyia utapeli?
Huo ubingwa wenu kawatishieni Arsenyau kwangu pakavu, ambao tokea kuumbwa mbingu na nchi hawajawahi kutwaa huo ubingwa wa dunia wala kubeba kombe la Ulaya.
 
Back
Top Bottom