Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Unauhakika Gani na huyu mtusubiri acheze kwanza ndo utishie watu....bundesliga n matapeli sana aisee afu wanauza kwa bei kubwa


Hata kama ni matapeli ila hawajawafikia nyie Chelkenge.Yaani mmetupiga kwa Mason Mount halafu mkawapiga na Arsenyau pesa ndefu kwa Kai harvez, Madueke, Kepa Arrizabalaga kwa kutuaminisha kua hao ni world class players wenye sifa zote za kustahili kua ballon d'or nominees.
subiri acheze kwanza ndo utishie watu....bundesliga n matapeli sana aisee afu wanauza kwa bei kubwa

