Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Carrington
IMG_20250809_095525_623.jpg
IMG_20250809_095525_993.jpg
 
Tukiuza Anthony Kwa 45 million, garnacho 50 million, tunapata hela ya baleba...then GK nadhani bei zipo chini lzm tutasajili mfano de gea ni 15 million, Martinez 40 millioni na donaruma ni 45 million....wote hawa they can't say NO to man united...
I'm not sure but perhaps good days are coming
Chelsea haiwezi kutoa 50 kwa Garnacho hiyo sahau
 
Mkataka mtuuzie 100 m yule michael jackson?
Sisi kazi yetu ni kupiga sio kupigwa ila niwe honest kwangu Jackson namuona ni Bora kuliko huyo Sesko ila Hana hiyo thamani shida ya Jackson ni kufunga magoal basi ila sio kwamba hafungi msimu ulipita kufunga 14 huwezi kumfananisha na mchezaji aliyefunga goal 13 kwenye ligi nyepesi Kama bundasliga. Jackson ana nguvu, anajua kudribble na kufanya mikimbia mingi ndani ya box ndio maana anapata nafasi nyingi za kufunga
 
Sisi kazi yetu ni kupiga sio kupigwa ila niwe honest kwangu Jackson namuona ni Bora kuliko huyo Sesko ila Hana hiyo thamani shida ya Jackson ni kufunga magoal basi ila sio kwamba hafungi msimu ulipita kufunga 14 huwezi kumfananisha na mchezaji aliyefunga goal 13 kwenye ligi nyepesi Kama bundasliga. Jackson ana nguvu, anajua kudribble na kufanya mikimbia mingi ndani ya box ndio maana anapata nafasi nyingi za kufunga
Kwanini mnamtoa kwenye squad yenu?
 
Sisi kazi yetu ni kupiga sio kupigwa ila niwe honest kwangu Jackson namuona ni Bora kuliko huyo Sesko ila Hana hiyo thamani shida ya Jackson ni kufunga magoal basi ila sio kwamba hafungi msimu ulipita kufunga 14 huwezi kumfananisha na mchezaji aliyefunga goal 13 kwenye ligi nyepesi Kama bundasliga. Jackson ana nguvu, anajua kudribble na kufanya mikimbia mingi ndani ya box ndio maana anapata nafasi nyingi za kufunga
Hakuna club yenye kocha anayejitambua akamchukua takataka jackson.
 
Back
Top Bottom