Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Binafsi sitamani kabisa kuona wachezaji wenye majina makubwa wanasajiliwa msimu huu, haya majina makubwa hayajawahi kua na msaada wowote tangia kuondoka kwa Ferguson, msimu huu ningependa kuona Amorim anawaamini zaidi madogo na kuwapatia nafasi ya kutosha, na kama kuna umuhimu mkubwa wa kusajili mchezaji mwenye uzoefu basi tusisajili nje ya Epl na mchezaji mwenyewe atakaesajiliwa aoneshe nia ya dhati ya kuipenda timu kama ilivyokua kwa Brian Mbeumo.
Siamini kama timu haina pesa ya kusajili wachezaji wa bei ghali maana juzi tu matajiri walikuja na project ya kutaka kujenga uwanja mpya, ila ninaamini msimu huu management imejitathmini kwa kina na kuona ni kwa namna gani jinsi wao wenyewe wanavyochangia kurudisha nyuma maendeleo ya timu kwa sajili zao za gharama kubwa kwa malengo ya kibiashara zaidi kuliko kuboresha ufanisi wa club.
Hapa nimekuelewa vizuri flano.
 
Binafsi siwezi kuicheka man u kwa Hali inayopitia.ila hebu tuangalie mambo kadhaa.

-Kwanza nimependa sera ya sasa ya united ya kusajili wachezaji ambao sio tu wanaipenda timu ila unaona kuna kitu wanacho na kinaendana na mahitaji ya timu.mbeumo na cunha.

-pili Ruben amorin apewe muda ajenge structure ya timu(identity)ya mfumo anaoutaka na world class player wauone na wajione ndani ya mfumo wa kocha.hapo hamtateseka kusajili proven players.
-Tatu mashabiki wakubali na wabadilike kwamba sasa Epl sio kama ya mzee wetu fergie.zamani timu ilikuwa ikiwa na mechi na man u ilikuwa inakabiliana na vitu vitatu kwa mpigo ambavyo vilikuwa vinastrike fear kwa timu nzima.
1-Glory ya man united brand.hii ilikuwa ni next to Madrid.
2-Legend of Alex ferguson.alichukuliwa kama benchmark ya coaching na alikuwa na aura ya kipee iliyowashinda makocha na wachezaji.
3-Glory of old trafford.hapa palikuwa panatisha ndo maana wachezaji wa kawaida kama Valencia,Rafael,Wes brown na the likes walionekana kama world class.tarafford ilikuwa balaaa.
***Hivyo vitatu vyote vilipotea nyakati za mwisho wa Fergie era.

-Nne Tukubali mpira umebadilika interms of technical, tactical and investment aspect.timu nyingi Zina wawekezaji wazuri,wanalipa vizuri,wananunua quality na wachezaji wanaridhika hivyo hawaangalii usoni.

-Tano nothing goes forever or exist forever.kila kitu kuna muda kitapandaaa na baadae lazima kishuke au kianguke hii ni secret law of the universe.newcastle aliwahi kuwa bingwa wa Epl akapotea kwa miaka mingi ila sasa anarudi.the likes of Nottingham forest ni UEFA champions ila walipotea na sasa Wana project za kurudi.kocha asipewe presha kubwa ya ku deliver.


Kati ya timu siichukii ila baiwazia mabaya kinoma ni Manchester united.
 
Nawakumbusha tuu, ndani ya wiki mbili, Pedro ana mafanikio makubwa kuliko wachezaji wote wa arsenyeto na nyumbuz kwa pamoja tangu hizo timu zianzishwe miaka mingi iliyopita 😂
Kweli mkuu. Naunga mkono hoja......hii wasione mashabiki wa arsenal wala Man u
 
Binafsi siwezi kuicheka man u kwa Hali inayopitia.ila hebu tuangalie mambo kadhaa.

-Kwanza nimependa sera ya sasa ya united ya kusajili wachezaji ambao sio tu wanaipenda timu ila unaona kuna kitu wanacho na kinaendana na mahitaji ya timu.mbeumo na cunha.

-pili Ruben amorin apewe muda ajenge structure ya timu(identity)ya mfumo anaoutaka na world class player wauone na wajione ndani ya mfumo wa kocha.hapo hamtateseka kusajili proven players.
-Tatu mashabiki wakubali na wabadilike kwamba sasa Epl sio kama ya mzee wetu fergie.zamani timu ilikuwa ikiwa na mechi na man u ilikuwa inakabiliana na vitu vitatu kwa mpigo ambavyo vilikuwa vinastrike fear kwa timu nzima.
1-Glory ya man united brand.hii ilikuwa ni next to Madrid.
2-Legend of Alex ferguson.alichukuliwa kama benchmark ya coaching na alikuwa na aura ya kipee iliyowashinda makocha na wachezaji.
3-Glory of old trafford.hapa palikuwa panatisha ndo maana wachezaji wa kawaida kama Valencia,Rafael,Wes brown na the likes walionekana kama world class.tarafford ilikuwa balaaa.
***Hivyo vitatu vyote vilipotea nyakati za mwisho wa Fergie era.

-Nne Tukubali mpira umebadilika interms of technical, tactical and investment aspect.timu nyingi Zina wawekezaji wazuri,wanalipa vizuri,wananunua quality na wachezaji wanaridhika hivyo hawaangalii usoni.

-Tano nothing goes forever or exist forever.kila kitu kuna muda kitapandaaa na baadae lazima kishuke au kianguke hii ni secret law of the universe.newcastle aliwahi kuwa bingwa wa Epl akapotea kwa miaka mingi ila sasa anarudi.the likes of Nottingham forest ni UEFA champions ila walipotea na sasa Wana project za kurudi.kocha asipewe presha kubwa ya ku deliver.


Kati ya timu siichukii ila baiwazia mabaya kinoma ni Manchester united.
Dah umeongea ukweli mtupu kiongozi.
 
Dah umeongea ukweli mtupu kiongozi.
Huyo Madueke Fc ukweli mtupu kaongea ila kazingua hapo mwisho aliposema:

"Kati ya timu siichukii ila naiwazia mabaya kinoma ni Manchester united."
1752908776684.jpg
 
Sir Jim " tunajenga uwanja wa 100,000 attendance, hii itatupa mapato zaidi kwenye viingilio kuliko timu yoyote england na itafanya tuweze kusajili Kwa nguvu kubwa sokoni, hii mashabiki katika mwanzo wake hawawezi kuelewa lakini ni project ambayo italipa na sisemi inazuia sisi kusajili, hapana lakini inatupa njia ya nini tufanye."



Cunha na mbeumo...tupate striker, GK na middle Moja....top four uhakika....timu ipo vizuri, naamini project ya 2028 kuchukua EPL hii inalipa na viongozi mipango wanayo.
 
Sir Jim " tunajenga uwanja wa 100,000 attendance, hii itatupa mapato zaidi kwenye viingilio kuliko timu yoyote england na itafanya tuweze kusajili Kwa nguvu kubwa sokoni, hii mashabiki katika mwanzo wake hawawezi kuelewa lakini ni project ambayo italipa na sisemi inazuia sisi kusajili, hapana lakini inatupa njia ya nini tufanye."



Cunha na mbeumo...tupate striker, GK na middle Moja....top four uhakika....timu ipo vizuri, naamini project ya 2028 kuchukua EPL hii inalipa na viongozi mipango wanayo.
Kwaio Casimiro mmemrudisha umri nyuma?

Bruno amewahakikishia atacheza mpira na sio kulalamika ovyo uwanjani kama yatima?

Dalot amesema atacheza kama marcelo?

Mount amewaahidi sasa hivi atajikaza?

Maguire atarudu yule wa kipindi yupo Leicester city?

Yolo ndio kama saliba wenu?

Ugarte kama ngolo kante wenu au sio?

Nyumbu kuweni serious brand yenu na takataka mlizokuwa nazo sijui wapi mmekosea.
Hatutaki lawama fanyeni usajiri wa maana
IMG-20250727-WA0005.jpg
 
Kwaio Casimiro mmemrudisha umri nyuma?

Bruno amewahakikishia atacheza mpira na sio kulalamika ovyo uwanjani kama yatima?

Dalot amesema atacheza kama marcelo?

Mount amewaahidi sasa hivi atajikaza?

Maguire atarudu yule wa kipindi yupo Leicester city?

Yolo ndio kama saliba wenu?

Ugarte kama ngolo kante wenu au sio?

Nyumbu kuweni serious brand yenu na takataka mlizokuwa nazo sijui wapi mmekosea.
Hatutaki lawama fanyeni usajiri wa maana
View attachment 3421528
Nishawambia labda mshinde kwa magoli ya kona, tofauti na hapo mtake msitake. Tutawashenyenta tu.
 
Sir Jim " tunajenga uwanja wa 100,000 attendance, hii itatupa mapato zaidi kwenye viingilio kuliko timu yoyote england na itafanya tuweze kusajili Kwa nguvu kubwa sokoni, hii mashabiki katika mwanzo wake hawawezi kuelewa lakini ni project ambayo italipa na sisemi inazuia sisi kusajili, hapana lakini inatupa njia ya nini tufanye."



Cunha na mbeumo...tupate striker, GK na middle Moja....top four uhakika....timu ipo vizuri, naamini project ya 2028 kuchukua EPL hii inalipa na viongozi mipango wanayo.
Unamuonaje Carlos baleba kama CDM, maana kwa striker naona ni Benjamin sesko tu na tayari keshasema anaitaka man united.
 
Back
Top Bottom