Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
Sisi Chelsea tulikubali kuanza chini na kukubaliana na project ya wamiliki wapya ambao hao wamekuja na project ya kununua wachezaji vijana wenye vipaji wengi karibia kila position then katika hao wapo wataoingia kwenye squad na wengine hutolewa mkopo kwa kukua na wengine huuzwa ili kutengeneza profit na Sasa ndio inatulipa baada ya kustruggle hii misimu miwili, walichofanya wamechagua sports director na scout wazuri hao ndio wamewasajili Caicedo, Enzo, Palmer, Estevao n.k ambao moja kwa moja wanatakiwa kufit mfumo wa Enzo Maresca angalia Sasa matunda yanaanza kuonekana. Nyinyi mnafeli kwenye usajili hasa wachezaji wanakuwa hawafit mfumo wa kocha na ndio maana wachezaji wenu wanaonekana ni mizigoWale jamaa msimu huu wako serious sana utadhani waliponea chupuchupu kushuka daraja.
Kwa mtizamo wangu, Liverpool wanalenga mashindano ya Ulaya hasa kwa kipindi hiki ambapo timu kubwa nyingi kama Madrid, Bayern na City ziko kwenye rebuilding mode.
United haiko wazi sana kinachotukwamisha kwenye usajili ni pesa au wameongeza umakini kwenye kusort wacheza na kuepuka ku splash pesa kwa wachezaji wa kawaida. Ngoja tuone mwisho wa dirisha na mwanzo wa msimu matokeo yatakuwa nini.
Sawa mkuu ngoja tuone hii project.Binafsi naona ni project yetu ya kuchukua EPL 2028...man u pesa ipo lkn project wameitanguliza mbele kama njia pekee ya kuleta mabadiliko OT
Hapo nimekuelewa mkuuWale jamaa msimu huu wako serious sana utadhani waliponea chupuchupu kushuka daraja.
Kwa mtizamo wangu, Liverpool wanalenga mashindano ya Ulaya hasa kwa kipindi hiki ambapo timu kubwa nyingi kama Madrid, Bayern na City ziko kwenye rebuilding mode.
United haiko wazi sana kinachotukwamisha kwenye usajili ni pesa au wameongeza umakini kwenye kusort wacheza na kuepuka ku splash pesa kwa wachezaji wa kawaida. Ngoja tuone mwisho wa dirisha na mwanzo wa msimu matokeo yatakuwa nini.
Huyu sijui atakujaje msimu huu...tupate striker na kiungo wa chini...tunakuja taratibuSawa mkuu ngoja tuone hii project.
Tulipofikia tunatia huruma lakini tusilalamike saana bali tupambane tu na changamoto zetu. @ bagabeach anasema tuiamini hii project, hivyo mda ni mwalimu mzuri.King faisal kweli kipa wa timu ya taifa mwenye uwezo tunataka tupewe kwa mkopo? Hii dharau kabisa hii mkuu
Kaka hii timu kipindi kile alitakiwa apewe yule mwarabu na alikua anaipenda sana ..na alikua na viision kubwa ya kuintransform.hii timu ila ushenzi ushenz wa waingereza ...mbona man city waliweza kukataa ushenzi wa uingereza....binafsi nataka ishuke daraja kabisa. Amorim leo kasema "we are going to suffer more" ...Tulipofikia tunatia huruma lakini tusilalamike saana bali tupambane tu na changamoto zetu. @ bagabeach anasema tuiamini hii project, hivyo mda ni mwalimu mzuri.
Timu itafaa sana msimu huu...lakini tusajili kiungo, striker na GKKaka hii timu kipindi kile alitakiwa apewe yule mwarabu na alikua anaipenda sana ..na alikua na viision kubwa ya kuintransform.hii timu ila ushenzi ushenz wa waingereza ...mbona man city waliweza kukataa ushenzi wa uingereza....binafsi nataka ishuke daraja kabisa. Amorim leo kasema "we are going to suffer more" ...
Kiukweli nililamika sana sheikh jasmini kunyimwa hii timu na alikua ameweka dau kubwa la kusajili na kuvunjia mikata wachezaji takataka wote wasio kua na ubora pamoja na hela ya kujenga uwanja mpya, ila glazzers hii timu wameiharibu wao kabisa. Lakini kushuka daraja hapana mkuu itakua ni aibu kubwa kwakweli.Kaka hii timu kipindi kile alitakiwa apewe yule mwarabu na alikua anaipenda sana ..na alikua na viision kubwa ya kuintransform.hii timu ila ushenzi ushenz wa waingereza ...mbona man city waliweza kukataa ushenzi wa uingereza....binafsi nataka ishuke daraja kabisa. Amorim leo kasema "we are going to suffer more" ...
Mkuu mim sijawah kuona.viongoz na management mbovu na ya kizambe kama ya hii timu aise...unawaona Liverpool ?Timu itafaa sana msimu huu...lakini tusajili kiungo, striker na GK
Striker na GK tutanunua. United imeshasajili wachezaji wakubwa toka Ferguson aondoke lkn hatukurudi kweny ubora.Mkuu mim sijawah kuona.viongoz na management mbovu na ya kizambe kama ya hii timu aise...unawaona Liverpool ?
Sesko yupo hata kutuma offer wamekalisha tu mambupu wanataka watu kwa.mikopo..
Binafsi sitamani kabisa kuona wachezaji wenye majina makubwa wanasajiliwa msimu huu, haya majina makubwa hayajawahi kua na msaada wowote tangia kuondoka kwa Ferguson, msimu huu ningependa kuona Amorim anawaamini zaidi madogo na kuwapatia nafasi ya kutosha, na kama kuna umuhimu mkubwa wa kusajili mchezaji mwenye uzoefu basi tusisajili nje ya Epl na mchezaji mwenyewe atakaesajiliwa aoneshe nia ya dhati ya kuipenda timu kama ilivyokua kwa Brian Mbeumo.
Hapa nimekuelewa vizuri flano.Binafsi sitamani kabisa kuona wachezaji wenye majina makubwa wanasajiliwa msimu huu, haya majina makubwa hayajawahi kua na msaada wowote tangia kuondoka kwa Ferguson, msimu huu ningependa kuona Amorim anawaamini zaidi madogo na kuwapatia nafasi ya kutosha, na kama kuna umuhimu mkubwa wa kusajili mchezaji mwenye uzoefu basi tusisajili nje ya Epl na mchezaji mwenyewe atakaesajiliwa aoneshe nia ya dhati ya kuipenda timu kama ilivyokua kwa Brian Mbeumo.
Siamini kama timu haina pesa ya kusajili wachezaji wa bei ghali maana juzi tu matajiri walikuja na project ya kutaka kujenga uwanja mpya, ila ninaamini msimu huu management imejitathmini kwa kina na kuona ni kwa namna gani jinsi wao wenyewe wanavyochangia kurudisha nyuma maendeleo ya timu kwa sajili zao za gharama kubwa kwa malengo ya kibiashara zaidi kuliko kuboresha ufanisi wa club.
Kweli mkuu. Naunga mkono hoja......hii wasione mashabiki wa arsenal wala Man uNawakumbusha tuu, ndani ya wiki mbili, Pedro ana mafanikio makubwa kuliko wachezaji wote wa arsenyeto na nyumbuz kwa pamoja tangu hizo timu zianzishwe miaka mingi iliyopita 😂