we jamaa 🤣View attachment 3426025
Eti unampiga Bournemouth nne kwenye preseason unaiita Un-fourgettable experience 😀 😀 😀 😀. Je ukimpiga Madrid 3-0 kwenye robofainali ya Champions League utasemaje? 😀😀😀.
Standards...
Kwetu sisi hiki ni kitu kikubwa sana mkuu, tuache tupumue kidogo kabla ligi ya mateso haijaanza.View attachment 3426025
Eti unampiga Bournemouth nne kwenye preseason unaiita Un-fourgettable experience 😀 😀 😀 😀. Je ukimpiga Madrid 3-0 kwenye robofainali ya Champions League utasemaje? 😀😀😀.
Standards...
Hii season tutakuwa vizuri kiasi hasa tupate GK, DM na STKwetu sisi hiki ni kitu kikubwa sana mkuu, tuache tupumue kidogo kabla ligi ya mateso haijaanza.
Wenzenu watajipata, nyie bado mpo kwnye phase za yule tapeli kiwigi.View attachment 3426025
Eti unampiga Bournemouth nne kwenye preseason unaiita Un-fourgettable experience 😀 😀 😀 😀. Je ukimpiga Madrid 3-0 kwenye robofainali ya Champions League utasemaje? 😀😀😀.
Standards...
Ndiyo maana tunawacheka na kuwadharau sasa hivi kabla hawajajipata na kutunyamazisha.Wenzenu watajipata, nyie bado mpo kwnye phase za yule tapeli kiwigi.
Hawa nilisema man united na Chelsea zitajipata kabla ya wao...ona Chelsea tayari karudi na sie tuko njiani😂Wenzenu watajipata, nyie bado mpo kwnye phase za yule tapeli kiwigi.
Netflix arsenal mnavituko sana 😁 yaani, unajisifia kwa kuitoa Madrid kwa 5-1, timu ambayo ilikua ishaanza kufa kwa kuwa na wachezaji wengi wabovu. Afu unakuja kushenyentwa na PSG kwa aibu kubwa home and away. Kumbe hayo ndio mafanikio yenu UEFA.View attachment 3426025
Eti unampiga Bournemouth nne kwenye preseason unaiita Un-fourgettable experience 😀 😀 😀 😀. Je ukimpiga Madrid 3-0 kwenye robofainali ya Champions League utasemaje? 😀😀😀.
Standards...
Jezi zetu za Chelsea ni nzuri labda Kama unajicho la usudaHapa jezi kali ni mbili tu ya man united na real Madrid full stop. Adidas na Puma wamejitahidi, mie naona aliyezingua sana ni kampuni ya NiKE ebu cheki jezi za chelwowo.
Jezi mbovu sana.Jezi zetu za Chelsea ni nzuri labda Kama unajicho la usuda
Nike sio wabunifu wazuri kwenye jezi tazama timu zote zinadhaminiwa na Nike wana matambara sio jezi zinazovutia kama puma au adidas. Hii comment nimeitoa kwa huyu kiongozi IrengaJezi zetu za Chelsea ni nzuri labda Kama unajicho la usuda
Hawezi kukuelewa. Mapenzi ya Chelsea yamempofua.Jezi mbovu sana.
Mkuu Chelsea wana jezi mbaya sana.Hawezi kukuelewa. Mapenzi ya Chelsea yamempofua.
Bro. Usiongee ukweli huu hadharani 😀😀Mkuu Chelsea wana jezi mbaya sana.
Dah sio poa NIKE cjui wamekuaje tu.Bro. Usiongee ukweli huu hadharani 😀😀
Sio suala la mapenzi jezi ya Chelsea ni nzuri ukilinganisha na msimu uliopita mbona jezi ya Liverpool nimeisifia ni Kali mnoHawezi kukuelewa. Mapenzi ya Chelsea yamempofua.
Sio suala la mapenzi jezi ya Chelsea ni nzuri ukilinganisha na msimu uliopita mbona jezi ya Liverpool nimeisifia ni Kali mno
Ya msimu uliopita ilikuwa ni mbaya msimu huu ndio naiona ni nzuri we subiri waweke mdhamini mkuu pale mbele utaiona ilivyo nzuriUnamaanisha ni nzuri ukiilinganisha na ya msimu uliopita au siyo mbaya kama ya msimu uliopita?
Benjamin sesko tayari, mda sio mrefu tutasikia here we go kutoka kwa fabrizio.