King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Dah umeongea ukweli mtupu kiongozi.Binafsi siwezi kuicheka man u kwa Hali inayopitia.ila hebu tuangalie mambo kadhaa.
-Kwanza nimependa sera ya sasa ya united ya kusajili wachezaji ambao sio tu wanaipenda timu ila unaona kuna kitu wanacho na kinaendana na mahitaji ya timu.mbeumo na cunha.
-pili Ruben amorin apewe muda ajenge structure ya timu(identity)ya mfumo anaoutaka na world class player wauone na wajione ndani ya mfumo wa kocha.hapo hamtateseka kusajili proven players.
-Tatu mashabiki wakubali na wabadilike kwamba sasa Epl sio kama ya mzee wetu fergie.zamani timu ilikuwa ikiwa na mechi na man u ilikuwa inakabiliana na vitu vitatu kwa mpigo ambavyo vilikuwa vinastrike fear kwa timu nzima.
1-Glory ya man united brand.hii ilikuwa ni next to Madrid.
2-Legend of Alex ferguson.alichukuliwa kama benchmark ya coaching na alikuwa na aura ya kipee iliyowashinda makocha na wachezaji.
3-Glory of old trafford.hapa palikuwa panatisha ndo maana wachezaji wa kawaida kama Valencia,Rafael,Wes brown na the likes walionekana kama world class.tarafford ilikuwa balaaa.
***Hivyo vitatu vyote vilipotea nyakati za mwisho wa Fergie era.
-Nne Tukubali mpira umebadilika interms of technical, tactical and investment aspect.timu nyingi Zina wawekezaji wazuri,wanalipa vizuri,wananunua quality na wachezaji wanaridhika hivyo hawaangalii usoni.
-Tano nothing goes forever or exist forever.kila kitu kuna muda kitapandaaa na baadae lazima kishuke au kianguke hii ni secret law of the universe.newcastle aliwahi kuwa bingwa wa Epl akapotea kwa miaka mingi ila sasa anarudi.the likes of Nottingham forest ni UEFA champions ila walipotea na sasa Wana project za kurudi.kocha asipewe presha kubwa ya ku deliver.
Kati ya timu siichukii ila baiwazia mabaya kinoma ni Manchester united.
