Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu hivi usajili wa united unaweza predict nini maeneo tutasajili dirisha hili
Kwa jinsi Man Utd tunavyoingia dirisha la usajili imekuwa ngumu sana kubashiri tutasajili kwa kuboresha au kufumba macho washabiki. Ila kama tutasajili kwa uzingatia mapungufu yetu ya msimu ulioisha, nadhani idara zote 3 zinahitaji maboresho walau mchezaji mmoja mmoja. Ingawa idara ya ushambuliaji inahitaji maboresho zaidi pamoja na kiungo.

Idara ya ulinzi inaweza kusubiri msimu ujao au dirisha dogo kama italazimika sana maana kwa hali yetu hatushiriki champions league hivyo tumekosa mvuto kwa wachezaji wazuri. Pia tukifanya usajili mzuri wa eneo la kiungo, automatically kwa asilimia kubwa hata eneo la ulinzi litaimarika.
 
Naskia eti mnataka tena kutuuzia Nkunku?
Yaani mnataka mfanye swap ya Nkunku kwa Garnacho + £30m juu tuwape.
Hivi kwani Utd na Arsenyau nyie kenge mnatuchukuliaje?
Kuweni na huruma basi, wodi zote pale matofali ya kuchoma zimejaa halafu mnataka mmtuongezee maharamia mengine ya kuyatibu.
Mkuu Assalam alaykum 😀😀....nawaomba sana Manunu msajili vzuri msimu huu msije kituaibisha Tena kama mwaka jana....sajilini vzuri maaa mechi ya kwanza tunawafata pale matofalini jmni....msije kuanza mitusi kama kawaida yenu mechi ya kwanza muanze Amorim out
 
Mkuu Assalam alaykum ....nawaomba sana Manunu msajili vzuri msimu huu msije kituaibisha Tena kama mwaka jana....sajilini vzuri maaa mechi ya kwanza tunawafata pale matofalini jmni....msije kuanza mitusi kama kawaida yenu mechi ya kwanza muanze Amorim out
Waalaikum Salaam, mkuu umeadimika sana siku hizi.
Binafsi kwa sasa sitamani kuona timu yetu inasajili wachezaji wenye majina makubwa, hawa wa majina makubwa kila wakija united wanaishia kupotea tu bila mchango wao kuonekana, sasa hivi natamani kuona Amorim anadeal zaidi na wachezaji chipukizi, pale kwenye Academy yetu tuna hazina kubwa sana, naimani kabisa Amorim akiwaamini na kuwapa nafasi baada ya misimu miwili tu project yake itakua na mafanikio makubwa kuliko misimu 7 ya project ya Tetea Kiwigi.
 
Kwa jinsi Man Utd tunavyoingia dirisha la usajili imekuwa ngumu sana kubashiri tutasajili kwa kuboresha au kufumba macho washabiki. Ila kama tutasajili kwa uzingatia mapungufu yetu ya msimu ulioisha, nadhani idara zote 3 zinahitaji maboresho walau mchezaji mmoja mmoja. Ingawa idara ya ushambuliaji inahitaji maboresho zaidi pamoja na kiungo.

Idara ya ulinzi inaweza kusubiri msimu ujao au dirisha dogo kama italazimika sana maana kwa hali yetu hatushiriki champions league hivyo tumekosa mvuto kwa wachezaji wazuri. Pia tukifanya usajili mzuri wa eneo la kiungo, automatically kwa asilimia kubwa hata eneo la ulinzi litaimarika.
Asante Kwa maelezo...nasikia tunamtaka ederson wa antalanta na ndindi wa Leicester city....mbele sioni kama tuna mvuto wa kuleta striker wa jina kubwa, labda yule Kean wa italia na wengine wa timu ndogo....
Pia Tuombee makinda yetu kama amad, maino, kolyer, obi Martin na wengine viwango vyao vipande ili watufae Mimi Bado Nina matumaini....angalia PSG alitumia kusajili majina makubwa ili awe Bora lkn amefeli hatimaye majina ya wasitani yamemupa ufalme wa ulaya...me naona tunakuja karibu na ukuu wa EPL na ulaya miaka mitatu ijayo 2025/2026, 2026/2027 na CEO wetu Berrada alisema Wana project ya kuchukua EPL ifikapo 2028.
NGONJA TUONE MABADILIKO YAJAYO
 
Waalaikum Salaam, mkuu umeadimika sana siku hizi.
Binafsi kwa sasa sitamani kuona timu yetu inasajili wachezaji wenye majina makubwa, hawa wa majina makubwa kila wakija united wanaishia kupotea tu bila mchango wao kuonekana, sasa hivi natamani kuona Amorim anadeal zaidi na wachezaji chipukizi, pale kwenye Academy yetu tuna hazina kubwa sana, naimani kabisa Amorim akiwaamini na kuwapa nafasi baada ya misimu miwili tu project yake itakua na mafanikio makubwa kuliko misimu 7 ya project ya Tetea Kiwigi.
Yule msimu huu mnamtimua hakyanani....maana sioni mkimaliza top 10....
 
20250709_001238.jpg
 
Ukitaka kujua Erik Kichwa ngumu ni tapeli wale wachezaji aliowanunua akiwa unyumbuni wapo sokoni tena kwa bei cheap kuliko alivyowapiga nyumbu ila kuwanunua akafe nao Leverkusen hataki.

Wakina Malacia, Antony, Eriksen
😂😂😂
 
Rivals wanafanya vizuri kwenye medani za kimataifa halafu timu ya 15 kwenye ligi ipoipo tu, kila siku tetesi.

City
Pool
Chelsea
Arsenal

2026/27 hakuna Champions League pia. Timu zilizofanya vizuri msimu uliopita mpaka sasa ndiyo zimefanya sajili za kueleweka. 🥲
 
Pumbavu kabisa hii timu...huwez kumsajili mbeumo, victor, eti unakimbilia mzee Vardy ..🚮🚮🚮
 
Gyokeres to Man UTD

final agreement sealed and HERE WE GO soon

145€ million + 100 € million ad ons...

Ameing'ang'ania arsenal kama kunguni ila tumewin vita hii...Heko Heko gyokeres is red and red
 
Gyokeres to Man UTD

final agreement sealed and HERE WE GO soon

145€ million + 100 € million ad ons...

Ameing'ang'ania arsenal kama kunguni ila tumewin vita hii...Heko Heko gyokeres is red and red
Sasa mchezaji hana hata mapenzi na timu wa nini?
 
Wewe una ota, Gyokeres aje kucheza kwenye timu ambayo chupu chupu ishuke daraja
Gyokeres to Man UTD

final agreement sealed and HERE WE GO soon

145€ million + 100 € million ad ons...

Ameing'ang'ania arsenal kama kunguni ila tumewin vita hii...Heko Heko gyokeres is red and red
 
CEO wa Manchester united Mr. Omari Berada
"Tuna project ya kuchukua EPL 2028"

Wazee hapa tuwe wapole na ndio maana sajili za vijana zinapewa kipaumbele sana, angalia amad, maino, ugarte, yoro, obi Martin, heaven, Kone, etc
Lkn hii haifanyi tusisajili senior players, lkn ni Kwa utaratibu tena bila papara huku project ikipaliliwa Kwa ustadi.
We're cooking
 
CEO wa Manchester united Mr. Omari Berada
"Tuna project ya kuchukua EPL 2028"

Wazee hapa tuwe wapole na ndio maana sajili za vijana zinapewa kipaumbele sana, angalia amad, maino, ugarte, yoro, obi Martin, heaven, Kone, etc
Lkn hii haifanyi tusisajili senior players, lkn ni Kwa utaratibu tena bila papara huku project ikipaliliwa Kwa ustadi.
We're cooking
Hata hio 2028 unaweza usibebe
Wengne pia wanajipanga
 
Back
Top Bottom