Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukitaka kujua Erik Kichwa ngumu ni tapeli wale wachezaji aliowanunua akiwa unyumbuni wapo sokoni tena kwa bei cheap kuliko alivyowapiga nyumbu ila kuwanunua akafe nao Leverkusen hataki.

Wakina Malacia, Antony, Eriksen
 
Ukitaka kujua Erik Kichwa ngumu ni tapeli wale wachezaji aliowanunua akiwa unyumbuni wapo sokoni tena kwa bei cheap kuliko alivyowapiga nyumbu ila kuwanunua akafe nao Leverkusen hataki.

Wakina Malacia, Antony, Eriksen
🤣
 
skysportsfootball-20250630-0001.jpg
Tangu lini beki akawa afisa mikopo hivi nyie mna akili kweli 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Ukitaka kujua Erik Kichwa ngumu ni tapeli wale wachezaji aliowanunua akiwa unyumbuni wapo sokoni tena kwa bei cheap kuliko alivyowapiga nyumbu ila kuwanunua akafe nao Leverkusen hataki.

Wakina Malacia, Antony, Eriksen
Shaulin monk ten hag alikua hajali hii club bali personal Interests yaani akashindwa hata kumchukua kudus.
 
Kocha wao ameamua kuwapa nafasi watu wa nyumbani na watu anaowapa nafasi wanapiga kazi kwelikweli ukianza na kipa wao Patricio, Neves, Moutinho, Neto na Jota ambaye yuko mbioni kukimbilia kwa majogoo wa jiji la Liverpool.
R.I.P. Diogo Jota.
 
Mason Mount alipiga pasi ya goal kwa Kai Harvetz Chelsea wakabeba UEFA. Wazee tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa Mount, mashine ya pasi. Acheni ubahili basi.
Naskia eti mnataka tena kutuuzia Nkunku?
Yaani mnataka mfanye swap ya Nkunku kwa Garnacho + £30m juu tuwape.
Hivi kwani Utd na Arsenyau nyie kenge mnatuchukuliaje?
Kuweni na huruma basi, wodi zote pale matofali ya kuchoma zimejaa halafu mnataka mmtuongezee maharamia mengine ya kuyatibu.
 
Yaani graizer anatupeleka kama nyumbu? Hivi waliomuuzia hawakulijua hili tatizo?
 
Arsenal na makapi ya Chelsea huwaambii kitu.
Sijui wanapeana bure nyuma ya pazia halafu sisi wanatutangazia namba kubwa kubwa tu!
Mkuu hivi usajili wa united unaweza predict nini maeneo tutasajili dirisha hili
 
Back
Top Bottom