amarina
Senior Member
- Jan 5, 2025
- 189
- 296
Eti wakamuuza Mactonomy,Fred, aibu sanaTena kwa pesa kibao, hii ni maajabu!View attachment 3387475
Eti wakamuuza Mactonomy,Fred, aibu sanaTena kwa pesa kibao, hii ni maajabu!View attachment 3387475
🤣Ukitaka kujua Erik Kichwa ngumu ni tapeli wale wachezaji aliowanunua akiwa unyumbuni wapo sokoni tena kwa bei cheap kuliko alivyowapiga nyumbu ila kuwanunua akafe nao Leverkusen hataki.
Wakina Malacia, Antony, Eriksen
Shaulin monk ten hag alituvurugia sana timu yetuEti wakamuuza Mactonomy,Fred, aibu sana
Shaulin monk ten hag alikua hajali hii club bali personal Interests yaani akashindwa hata kumchukua kudus.Ukitaka kujua Erik Kichwa ngumu ni tapeli wale wachezaji aliowanunua akiwa unyumbuni wapo sokoni tena kwa bei cheap kuliko alivyowapiga nyumbu ila kuwanunua akafe nao Leverkusen hataki.
Wakina Malacia, Antony, Eriksen
Tushamkosa huyu maana rais wao kasema wanae msimu ujaoMbeumo... Naamini dili litakamilika tu, majadiliano bado yanaendelea baina ya timu.
Jamaa kasoma huyo mdauView attachment 3389294Tangu lini beki akawa afisa mikopo hivi nyie mna akili kweli 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
R.I.P. Diogo Jota.Kocha wao ameamua kuwapa nafasi watu wa nyumbani na watu anaowapa nafasi wanapiga kazi kwelikweli ukianza na kipa wao Patricio, Neves, Moutinho, Neto na Jota ambaye yuko mbioni kukimbilia kwa majogoo wa jiji la Liverpool.
Mason Mount alipiga pasi ya goal kwa Kai Harvetz Chelsea wakabeba UEFA. Wazee tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa Mount, mashine ya pasi. Acheni ubahili basi.


Naskia eti mnataka tena kutuuzia Nkunku?😂😂😂Chelsea wachawi...saiv wapo na arsenal
Arsenal na makapi ya Chelsea huwaambii kitu.Chelsea wachawi...saiv wapo na arsenal
Mkuu hivi usajili wa united unaweza predict nini maeneo tutasajili dirisha hiliArsenal na makapi ya Chelsea huwaambii kitu.
Sijui wanapeana bure nyuma ya pazia halafu sisi wanatutangazia namba kubwa kubwa tu!
Umeishiwa hojaChelsea kufika nusu fainali kombe la dunia ni sawa na nyumbu kushinda UCL 😂
Sasa Man U mna hoja gn wakati hamko kwenye serious tournament yoyote ile 😂Umeishiwa hoja