Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,145
- 4,292
Kwanini Psg hawakurudisha kipindi icho cha pili? Tumia akiliHamna timu pale nimewaangaia ni wakawaida tu, angalia hata kipind cha pili why hawakuongeza?
Kwanini Psg hawakurudisha kipindi icho cha pili? Tumia akiliHamna timu pale nimewaangaia ni wakawaida tu, angalia hata kipind cha pili why hawakuongeza?
😂😂😂😂Mkuu kasajiliwa man u ipi huyoGyokeres to Man UTD
final agreement sealed and HERE WE GO soon
145€ million + 100 € million ad ons...
Ameing'ang'ania arsenal kama kunguni ila tumewin vita hii...Heko Heko gyokeres is red and red
Hii hii iliyoshika nafasi ya 17, ...😂😂😂😂Mkuu kasajiliwa man u ipi huyo
Nina akili mbona.Kwanini Psg hawakurudisha kipindi icho cha pili? Tumia akili
CEO alisema Tuna project ya ubingwa 2028.MUFC usajili haueleweki. Wapinzani wapo busy kujenga Team zao. Old Trafford kuna mdudu mbaya Sana siyo bure.
Hawana helqMna macho lakini hamuoni mashine zipo sokoni Jackson, Nkunku, Lavia, Fofana. No udalali.
Mna macho lakini hamuoni mashine zipo sokoni Jackson, Nkunku, Lavia, Fofana. No udalali.


Kuna uhuni Chelkenge naona mnaenda kutufanyia tena, Kuna timu kibao nje ya Epl zimeonesha nia ya kumtaka Garnacho ila dogo akanaza anataka kubaki England, Chelkenge ndio timu pekee Uingereza iliyoonesha nia ya kutaka kumsajili, hivyo hapo Kuna swap ya kihuni ya Nicolas Jackson tunaenda kufanyiwa muda sio mrefu halafu tutatakiwa pia kuwaongezea pesa kenge hawa.Hata Hilo jina old Trafford lenyewe Lina nuksi..walibadilishe ...MUFC usajili haueleweki. Wapinzani wapo busy kujenga Team zao. Old Trafford kuna mdudu mbaya Sana siyo bure.
tajiri mwembamba ni shidaHuyu Omar Berrada ndiye yule alikuwa pale City au tumeuziwa clone yake!
Tunajadili deal la Mbeumo miezi 2 na bado tutaishia kumnunua kwa bei wanayotaka Brentford,
tajiri mwembamba ni shida
hata sielewi kalitokea wap❔ haka kauza sumuMwishowe tutamkumbuka Mwarabu tena.