Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Gyokeres to Man UTD

final agreement sealed and HERE WE GO soon

145€ million + 100 € million ad ons...

Ameing'ang'ania arsenal kama kunguni ila tumewin vita hii...Heko Heko gyokeres is red and red
😂😂😂😂Mkuu kasajiliwa man u ipi huyo
 
Aisee hii timu au wauza kahawa tu
 

Attachments

  • 20250715_093634.jpg
    20250715_093634.jpg
    233.4 KB · Views: 14
Mna macho lakini hamuoni mashine zipo sokoni Jackson, Nkunku, Lavia, Fofana. No udalali.
Kuna uhuni Chelkenge naona mnaenda kutufanyia tena, Kuna timu kibao nje ya Epl zimeonesha nia ya kumtaka Garnacho ila dogo akanaza anataka kubaki England, Chelkenge ndio timu pekee Uingereza iliyoonesha nia ya kutaka kumsajili, hivyo hapo Kuna swap ya kihuni ya Nicolas Jackson tunaenda kufanyiwa muda sio mrefu halafu tutatakiwa pia kuwaongezea pesa kenge hawa.
 
Huyu Omar Berrada ndiye yule alikuwa pale City au tumeuziwa clone yake!
Tunajadili deal la Mbeumo miezi 2 na bado tutaishia kumnunua kwa bei wanayotaka Brentford,
 
Back
Top Bottom