Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,444
- 3,282
Timu yangu😡
Hata hio 2028 unaweza usibebeCEO wa Manchester united Mr. Omari Berada
"Tuna project ya kuchukua EPL 2028"
Wazee hapa tuwe wapole na ndio maana sajili za vijana zinapewa kipaumbele sana, angalia amad, maino, ugarte, yoro, obi Martin, heaven, Kone, etc
Lkn hii haifanyi tusisajili senior players, lkn ni Kwa utaratibu tena bila papara huku project ikipaliliwa Kwa ustadi.
We're cooking
Tusipobeba sawa lkn tutakuwa na team ya ubingwa means tutakuwa imara sana hii ndio maana ya project .Hata hio 2028 unaweza usibebe
Wengne pia wanajipanga
Tusipobeba sawa lkn tutakuwa na team ya ubingwa means tutakuwa imara sana hii ndio maana ya project .
Hivi hawa Chelsea nyie mnawaelewa mbona km wanajua kuforce sana makombe
Hamna timu pale nimewaangaia ni wakawaida tu, angalia hata kipind cha pili why hawakuongeza?Tusipobeba sawa lkn tutakuwa na team ya ubingwa means tutakuwa imara sana hii ndio maana ya project .
Hivi hawa Chelsea nyie mnawaelewa mbona km wanajua kuforce sana makombe
hio rimu 😁
Nyie hata rim ya baiskeli hamna 😂hio rimu 😁
🤣Nyie hata rim ya baiskeli hamna 😂
Labda kama mnamuiba hapo sawaGyokeres to Man UTD
final agreement sealed and HERE WE GO soon
145€ million + 100 € million ad ons...
Ameing'ang'ania arsenal kama kunguni ila tumewin vita hii...Heko Heko gyokeres is red and red
😂Labda kama mnamuiba hapo sawa
Chelsea tuna sajili vijana wanaojua mpira kazi nyinyi nikupigwa tu alafu Sasa baada ya kuwasajili hao vijana tunawapeleka sehemu ambayo tumehifadhi makombe yote tuliochukua ndio maana unakuta vijana Wana uchu vibaya mnoTusipobeba sawa lkn tutakuwa na team ya ubingwa means tutakuwa imara sana hii ndio maana ya project .
Hivi hawa Chelsea nyie mnawaelewa mbona km wanajua kuforce sana makombe
Hatujawaongeza kwasababu tayari tulikuwa na mtaji wa mabao matatu hiyo inaitwa football managementHamna timu pale nimewaangaia ni wakawaida tu, angalia hata kipind cha pili why hawakuongeza?
😂😂 watu mna masiala sana