Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

CEO wa Manchester united Mr. Omari Berada
"Tuna project ya kuchukua EPL 2028"

Wazee hapa tuwe wapole na ndio maana sajili za vijana zinapewa kipaumbele sana, angalia amad, maino, ugarte, yoro, obi Martin, heaven, Kone, etc
Lkn hii haifanyi tusisajili senior players, lkn ni Kwa utaratibu tena bila papara huku project ikipaliliwa Kwa ustadi.
We're cooking
 
CEO wa Manchester united Mr. Omari Berada
"Tuna project ya kuchukua EPL 2028"

Wazee hapa tuwe wapole na ndio maana sajili za vijana zinapewa kipaumbele sana, angalia amad, maino, ugarte, yoro, obi Martin, heaven, Kone, etc
Lkn hii haifanyi tusisajili senior players, lkn ni Kwa utaratibu tena bila papara huku project ikipaliliwa Kwa ustadi.
We're cooking
Hata hio 2028 unaweza usibebe
Wengne pia wanajipanga
 
Tukumbushane

20250714_013642.jpg
 
Gyokeres to Man UTD

final agreement sealed and HERE WE GO soon

145€ million + 100 € million ad ons...

Ameing'ang'ania arsenal kama kunguni ila tumewin vita hii...Heko Heko gyokeres is red and red
Labda kama mnamuiba hapo sawa
 

Attachments

  • 1752485695189.jpg
    1752485695189.jpg
    400.7 KB · Views: 12
Tusipobeba sawa lkn tutakuwa na team ya ubingwa means tutakuwa imara sana hii ndio maana ya project .

Hivi hawa Chelsea nyie mnawaelewa mbona km wanajua kuforce sana makombe
Chelsea tuna sajili vijana wanaojua mpira kazi nyinyi nikupigwa tu alafu Sasa baada ya kuwasajili hao vijana tunawapeleka sehemu ambayo tumehifadhi makombe yote tuliochukua ndio maana unakuta vijana Wana uchu vibaya mno
 
Back
Top Bottom