Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tusipobeba sawa lkn tutakuwa na team ya ubingwa means tutakuwa imara sana hii ndio maana ya project .

Hivi hawa Chelsea nyie mnawaelewa mbona km wanajua kuforce sana makombe
Chelsea tuna sajili vijana wanaojua mpira kazi nyinyi nikupigwa tu alafu Sasa baada ya kuwasajili hao vijana tunawapeleka sehemu ambayo tumehifadhi makombe yote tuliochukua ndio maana unakuta vijana Wana uchu vibaya mno
 
Tar 9 naomba msilete timu uwanjani km usajili wenyewe ni kunya! 😁
Screenshot_20250709-213213_Instagram.jpg
 
Gyokeres to Man UTD

final agreement sealed and HERE WE GO soon

145€ million + 100 € million ad ons...

Ameing'ang'ania arsenal kama kunguni ila tumewin vita hii...Heko Heko gyokeres is red and red
😂😂😂😂Mkuu kasajiliwa man u ipi huyo
 
Mna macho lakini hamuoni mashine zipo sokoni Jackson, Nkunku, Lavia, Fofana. No udalali.
Kuna uhuni Chelkenge naona mnaenda kutufanyia tena, Kuna timu kibao nje ya Epl zimeonesha nia ya kumtaka Garnacho ila dogo akanaza anataka kubaki England, Chelkenge ndio timu pekee Uingereza iliyoonesha nia ya kutaka kumsajili, hivyo hapo Kuna swap ya kihuni ya Nicolas Jackson tunaenda kufanyiwa muda sio mrefu halafu tutatakiwa pia kuwaongezea pesa kenge hawa.
 
Huyu Omar Berrada ndiye yule alikuwa pale City au tumeuziwa clone yake!
Tunajadili deal la Mbeumo miezi 2 na bado tutaishia kumnunua kwa bei wanayotaka Brentford,
 
Back
Top Bottom