Chelsea tuna sajili vijana wanaojua mpira kazi nyinyi nikupigwa tu alafu Sasa baada ya kuwasajili hao vijana tunawapeleka sehemu ambayo tumehifadhi makombe yote tuliochukua ndio maana unakuta vijana Wana uchu vibaya mnoTusipobeba sawa lkn tutakuwa na team ya ubingwa means tutakuwa imara sana hii ndio maana ya project .
Hivi hawa Chelsea nyie mnawaelewa mbona km wanajua kuforce sana makombe
