Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Habari ya motomoto hii kutoka kwa Uncle Romano Bruno amekataa kwenda Uarabuni, bado anataka kulisakata kabumbu barani Ulaya.
1748935316815.jpg
 
Alejandro Garnacho will leave Man United, decision confirmed on player and club side — set to part ways.

Understand staying in Premier League serious option with 3 clubs already very keen… after Bayer Leverkusen and Italian clubs calling.
 
Mfu
Hakuna Updates zozote pia dirisha limefungwa mpaka tarehe 16/06/2025 ndio litafunguliwa tena Tuombee mema tu.
mfumo wa 3:4:2:1 naona ni mfumo mgumu sana.
Kocha msimu ujao awe flexible yaan awe na substitute ya mfumo wa either 3:5:2 au 3:4:3
 
Tungekuwa UEFA msimu ujao huyu Gyokeres tungemnasa maana Arsenal wana komaa na Sesko. Gyokeres Kuna timu anaisikilizia akiikosa basi United itakuwa ndo destination yake ya mwisho, tatizo ni UEFA, wachezaji wote siku hizi wanataka kucheza lile kombe.
 
Tungekuwa UEFA msimu ujao huyu Gyokeres tungemnasa maana Arsenal wana komaa na Sesko. Gyokeres Kuna timu anaisikilizia akiikosa basi United itakuwa ndo destination yake ya mwisho, tatizo ni UEFA, wachezaji wote siku hizi wanataka kucheza lile kombe.
Yaani sipendi demu anapomsikilizia jamaa amuoe akiona jamaa anadem mwingine ndio arudi kwako, huyo namwaga tu, wachezajinkama hawa hawana nia ya kuichezea timu. Ile tunayopenda mchezaji acheze kufa kupona uwanjani sio hawo wanaochagua chagua.

Ndio maana sijapenda kuuzwa
1. Scott McTominay
2. Frederico Rodrigues Santos
3. Aron wan bissaka
4.

Hawa mpaka kesho nitaalani aliyewauza
 
Back
Top Bottom