Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mfu
Hakuna Updates zozote pia dirisha limefungwa mpaka tarehe 16/06/2025 ndio litafunguliwa tena Tuombee mema tu.
mfumo wa 3:4:2:1 naona ni mfumo mgumu sana.
Kocha msimu ujao awe flexible yaan awe na substitute ya mfumo wa either 3:5:2 au 3:4:3
 
Tungekuwa UEFA msimu ujao huyu Gyokeres tungemnasa maana Arsenal wana komaa na Sesko. Gyokeres Kuna timu anaisikilizia akiikosa basi United itakuwa ndo destination yake ya mwisho, tatizo ni UEFA, wachezaji wote siku hizi wanataka kucheza lile kombe.
 
Tungekuwa UEFA msimu ujao huyu Gyokeres tungemnasa maana Arsenal wana komaa na Sesko. Gyokeres Kuna timu anaisikilizia akiikosa basi United itakuwa ndo destination yake ya mwisho, tatizo ni UEFA, wachezaji wote siku hizi wanataka kucheza lile kombe.
Yaani sipendi demu anapomsikilizia jamaa amuoe akiona jamaa anadem mwingine ndio arudi kwako, huyo namwaga tu, wachezajinkama hawa hawana nia ya kuichezea timu. Ile tunayopenda mchezaji acheze kufa kupona uwanjani sio hawo wanaochagua chagua.

Ndio maana sijapenda kuuzwa
1. Scott McTominay
2. Frederico Rodrigues Santos
3. Aron wan bissaka
4.

Hawa mpaka kesho nitaalani aliyewauza
 
Yaani sipendi demu anapomsikilizia jamaa amuoe akiona jamaa anadem mwingine ndio arudi kwako, huyo namwaga tu, wachezajinkama hawa hawana nia ya kuichezea timu. Ile tunayopenda mchezaji acheze kufa kupona uwanjani sio hawo wanaochagua chagua.

Ndio maana sijapenda kuuzwa
1. Scott McTominay
2. Frederico Rodrigues Santos
3. Aron wan bissaka
4.

Hawa mpaka kesho nitaalani aliyewauza
Ndio maana Madrid wanafanikiwa kwasababu mchezaji anataka timu yeye mwenyewe, kwanza hawasumbuani na mchezaji. Sasa sisi tunasumbukaaa weee.
 
Nazani ni muda mwafaka wa kuanza kukomaa na Osimhen huyu Dogo Gyokerez naona miyeyusho.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |
 
Unakomaa na Gyokeres ambaye anataka aende Arsenal kwaajili ya UEFA na Arsenal wanasikilizia Kwa Sesko kwanza. Tena si kwamba utamfaidi sana ni misimu mitatu tu ashafika 30yrs. Nadhani tuzame tutafute mwingine huyu jamaa Kuna mahali (Arsenal) ndo anaisikilizia, akiikosa atatufikiria na sisi, huku ni kupotezeana muda.
 
Unakomaa na Gyokeres ambaye anataka aende Arsenal kwaajili ya UEFA na Arsenal wanasikilizia Kwa Sesko kwanza. Tena si kwamba utamfaidi sana ni misimu mitatu tu ashafika 30yrs. Nadhani tuzame tutafute mwingine huyu jamaa Kuna mahali (Arsenal) ndo anaisikilizia, akiikosa atatufikiria na sisi, huku ni kupotezeana muda.
Wala hata hatukomai nae asijipe sana umuhimu kwenye timu yetu
 
Mancity msimu ujao atakuwa championship,maana inasemekana wachezaji wa mancity walivujishiwa habari kuwa msimu ujao watapelekwa championship kwa ile kesi Yao ya 115charges ,ndio maana wamekata tamaa wanajionelea ya nini wapambane wakati hawatabaki EPL

MANJESTA inabidi ashuke daraja pia tushihudie Manchester derby huko Championship msimu ujao
We jamaa hapa ulikua umeshiba makande 😂
 
1000104626.png
 
🚨 BREAKING:

Manchester United will play against Arsenal, Manchester City and Chelsea in the first 5 Match Days of the new Premier League season.

[@SamC_reports]

Naona tutafungua ligi na hawa wakora wa Wenger orphans tutapiga kama ngoma
 
Back
Top Bottom