Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Niliwahi kusema humu kuhusu utapeli wa ETH ,Jamaa alipopewa umeneja manjesta,akasajili kampuni lake la uwakala ,ndio likawa linaleta wachezaji linapiga pesa ndefu, wachezaji wengi wakidach au wale aliowataka ETH walipitia kwenye hili kampuni lake ambalo mwanae alikuwa mfanyakazi humo ndani,

Mimi ningekuwa ETH ,sitaki na ukocha Tena naenda zangu visiwa vya Hawaii huko kula Bata tu ,

Jamaa alianza kuwatapeli manjesta kwenye sajili kama za Anthony Santos,kwenye loan fee za matapeli kama Weghorst ,Malacia, n.k

Sitashangaa na Amorini akitafuta kampuni hewa nalo lilete wachezaji wake kwa Bei za kutupa


MANJESTA IMEKUWA SHAMBA LA BIBI
Screenshot_20241227-185443.png
 
Amorini anaonekana hana muda wakubadilisha formation hata atumie 4-2-3-1,4-4-2,4-3-3 yeye inaonesha kakalili 3-4-3

Hiyo formation imewakataa wachezaji karibu wote wa manjesta,imewakubali hasa Mazarawi,Amadi ,Ugale

ila wengi imewakataa ,mtu kama Kobelo Maino anaonekana fala tu sasa hivi,

Bruno anaonekana kama Okajefa ,

Kocha mwingine haraka sana angetafuta formation inayoendana na hao wachezaji

RVN ana coaching nzuri ,alipotumia 4-2-3-1 nilijua tu angeokota alama nyingi

Sasa huyo Amorini anakwambia atasimama na 3-4-3 Hadi afukuzwe

Na Mimi kama mhafidhina nasema hivi aendelee hivo hivo

Conte ni master wa 3-4-3 lakini pale Napoli anacheza 4-2-3-1 au 4-3-3 ,unadhani kwanini?

Huyu Amorin alijua EPL sawa na ligi za wakulima ,

Subiri sasa atachezea vipigo vya kutosha

Wewe formation imewakubali wachezaji hawazidi watano Bado unalazimisha tu

Kobelo Maino ndio namsikitikia sana
 
Kwa maslahi mapana ya afya ya Soka inabidi manjesta washuke daraja

Hii timu iliwahi kucheza OT zaidi ya miaka 10 hakuna penalty inayotolewa

Hii timu imedhulumu sana watu wakimtumia Howard Webb

Mimi naona hapa Bado inabidi mshuke daraja
 
Mancity msimu ujao atakuwa championship,maana inasemekana wachezaji wa mancity walivujishiwa habari kuwa msimu ujao watapelekwa championship kwa ile kesi Yao ya 115charges ,ndio maana wamekata tamaa wanajionelea ya nini wapambane wakati hawatabaki EPL

MANJESTA inabidi ashuke daraja pia tushihudie Manchester derby huko Championship msimu ujao
 
Manjesta alikuwa anabebwa sana

Mimi naona Bado yale machungu hamjayalipia inabidi muende kabisa championship mkacheze na kina derby County,waycombe , Wimbledon

Ndio level zenu ,msimu huu mlicheza na katimu ka championship mkakapiga sijui 7 zile ,wale ndio level zenu sasa
 
Hiyo ya Man City ni kweli, ama una changamsha kijiwe?
Manjesta alikuwa anabebwa sana

Mimi naona Bado yale machungu hamjayalipia inabidi muende kabisa championship mkacheze na kina derby County,waycombe , Wimbledon

Ndio level zenu ,msimu huu mlicheza na katimu ka championship mkakapiga sijui 7 zile ,wale ndio level zenu sasa
 
Manjesta ishageuka Shamba la bibi

ETH ana akili sana ,nadhani atakuwa na utajiri mkubwa sana

Alifungua kampuni la kitapeli linaitwa SEG akawa msimamizi ni mwanae ,

Wamepiga ,10% za kutosha

Hojlund kanunuliwa *€85m badala ya €35m

Anthony Santos makudubela kanunuliwa €100m badala ya €25m

Mount €60m badala ya €35m

Zaka za kazi Joshua mutale €40m badala ya €20m

List ni ndefu sana

Amourine asijifanye hii timu ya baba yake ,amuulize ETH
 
Amorini akitaka kupiga pesa ,awaambie mabosi wa manjesta,kwa mfumo wake anataka aletewe Fulani na Fulani ,na hao wachezaji acheze game kama ETH wawe Bei ya €60-100m

Manjesta walivyo desperate watapambana watawaleta

Nakumbuka ETH alisema manjesta inamuhitaji Anthony Santos makudubela kuliko yeye anavyowahitaji, mabosi wa manjesta wakakwea pipa Hadi Ajax wakatoa €100m🤣🤣
 
June 1 Atalanta na vyanzo vingi vya Italy vilisema Atalanta wapo tayari kupokea €45m kwa Hojlund Mzee wa WWE,

ETH akasema msinitanie

June 15 akamwambia Hojlund avunje mkataba na wakala wake Kisha ajiunge kwenye kampuni la uwakala la SGE ambalo linaongozwa na mtoto wa ETH

August 5 , Manjesta wakamnunua hojlund kwa total package ya €85m

ETH na genge lake wakawa wamepata faida ya €40m

Hapo sijaweka Agent fee ambayo Huwa inafika Hadi €10m

HII MICHEZO INAFANYIKA SANA SIMBA NA YANGA


Screenshot_20241227-185443_1.jpg
 
Amorini akitaka kupiga pesa ,awaambie mabosi wa manjesta,kwa mfumo wake anataka aletewe Fulani na Fulani ,na hao wachezaji acheze game kama ETH wawe Bei ya €60-100m

Manjesta walivyo desperate watapambana watawaleta

Nakumbuka ETH alisema manjesta inamuhitaji Anthony Santos makudubela kuliko yeye anavyowahitaji, mabosi wa manjesta wakakwea pipa Hadi Ajax wakatoa €100m🤣🤣
Hamisi unapiga sana spana!😂😂🙌
 
June 1 Atalanta na vyanzo vingi vya Italy vilisema Atalanta wapo tayari kupokea €45m kwa Hojlund Mzee wa WWE,

ETH akasema msinitanie

June 15 akamwambia Hojlund avunje mkataba na wakala wake Kisha ajiunge kwenye kampuni la uwakala la SGE ambalo linaongozwa na mtoto wa ETH

August 5 , Manjesta wakamnunua hojlund kwa total package ya €85m

ETH na genge lake wakawa wamepata faida ya €40m

Hapo sijaweka Agent fee ambayo Huwa inafika Hadi €10m

HII MICHEZO INAFANYIKA SANA SIMBA NA YANGA


View attachment 3186541
😂😂🙌 wapumzishe kidogo, washaelewa!

Eti mzee wa WWE 😁
 
June 1 Atalanta na vyanzo vingi vya Italy vilisema Atalanta wapo tayari kupokea €45m kwa Hojlund Mzee wa WWE,

ETH akasema msinitanie

June 15 akamwambia Hojlund avunje mkataba na wakala wake Kisha ajiunge kwenye kampuni la uwakala la SGE ambalo linaongozwa na mtoto wa ETH

August 5 , Manjesta wakamnunua hojlund kwa total package ya €85m

ETH na genge lake wakawa wamepata faida ya €40m

Hapo sijaweka Agent fee ambayo Huwa inafika Hadi €10m

HII MICHEZO INAFANYIKA SANA SIMBA NA YANGA


View attachment 3186541
Hizo biashara hazina tofauti na kama za kina mwinyi zahera na usajili wa kina makambo au kindoki😂😂😂
 
Back
Top Bottom