hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,311
Niliwahi kusema humu kuhusu utapeli wa ETH ,Jamaa alipopewa umeneja manjesta,akasajili kampuni lake la uwakala ,ndio likawa linaleta wachezaji linapiga pesa ndefu, wachezaji wengi wakidach au wale aliowataka ETH walipitia kwenye hili kampuni lake ambalo mwanae alikuwa mfanyakazi humo ndani,
Mimi ningekuwa ETH ,sitaki na ukocha Tena naenda zangu visiwa vya Hawaii huko kula Bata tu ,
Jamaa alianza kuwatapeli manjesta kwenye sajili kama za Anthony Santos,kwenye loan fee za matapeli kama Weghorst ,Malacia, n.k
Sitashangaa na Amorini akitafuta kampuni hewa nalo lilete wachezaji wake kwa Bei za kutupa
MANJESTA IMEKUWA SHAMBA LA BIBI
Mimi ningekuwa ETH ,sitaki na ukocha Tena naenda zangu visiwa vya Hawaii huko kula Bata tu ,
Jamaa alianza kuwatapeli manjesta kwenye sajili kama za Anthony Santos,kwenye loan fee za matapeli kama Weghorst ,Malacia, n.k
Sitashangaa na Amorini akitafuta kampuni hewa nalo lilete wachezaji wake kwa Bei za kutupa
MANJESTA IMEKUWA SHAMBA LA BIBI