Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 7,495
- 12,602
Nyumbu ni kama ndoo ya gest kila mteja anaiogea
Daah. Siyo poa. Ikibidi auzwe basi msimuachie aende mbali. Tupeni sisi Gunners ila msitugonge bei sana.Niraishangaa sana Manchester united kama hawata vuta mpunga wa Bruno.
Waarabu wapo tayari kutoa 100 million usd kwaajili ya kumsajili Bruno ambaye anakimbilia miaka 31.
Bruno ni mchezaji mzuri sana lakini kwa kiwango cha fedha ambazo Waarabu wapo tayari kuzitoa utakuwa ni ujinga wa kiwango cha juu kupitiliza.
Ukitazama uchezaji wa Bruno msimu huu kilizidi kipanda sana ingawa team haikufanya vizuri.Kwa kawaida kadri miaka inavyozidi kusonga mbele kiwango kinashuka.
100 million usd tunaweza kupata wachezaji 2 au 3 vijana wa kiwango cha juu sana.
Iwapo Man itambakiza Bruno ni hakika hii team itachukua miongo mingi kurejea katka soka la ushindani.
Huu mwaka wa 5 mnasema hvyo ...hata mlivyokuwa na tapeli 10hag si mlitamba hivyohvyo....mkianza Msimu mpya mnatimua kocha Tena mnaanza upya 🤣Timu haisukwi kama pakacha la kubebea papai.
Nipe misimu miwili alafu njoo tena hapa.
Kwa sasa endeleeni kutamba na vichupi vyenu, me nawaangalieni tu.
Fedha ya mumuuza Bruno inaweza kusajili wachezaji wawili wakali.Niraishangaa sana Manchester united kama hawata vuta mpunga wa Bruno.
Waarabu wapo tayari kutoa 100 million usd kwaajili ya kumsajili Bruno ambaye anakimbilia miaka 31.
Bruno ni mchezaji mzuri sana lakini kwa kiwango cha fedha ambazo Waarabu wapo tayari kuzitoa utakuwa ni ujinga wa kiwango cha juu kupitiliza.
Ukitazama uchezaji wa Bruno msimu huu kilizidi kipanda sana ingawa team haikufanya vizuri.Kwa kawaida kadri miaka inavyozidi kusonga mbele kiwango kinashuka.
100 million usd tunaweza kupata wachezaji 2 au 3 vijana wa kiwango cha juu sana.
Iwapo Man itambakiza Bruno ni hakika hii team itachukua miongo mingi kurejea katka soka la ushindani.
Na mfano hai PSGTimu haisukwi kama pakacha la kubebea papai.
Nipe misimu miwili alafu njoo tena hapa.
Kwa sasa endeleeni kutamba na vichupi vyenu, me nawaangalieni tu.
Angalau awasaidie saidie kidogo mmalize hata nafasi ya 13 msimu ujao. Ninachotaka mimi bado ni kile kile, mmalize nafasi ya 17.
Hili galasa tumelipia pesa nyingi sana
5 years late!!!ST: Mitrović (£18)