Ndio maana Madrid wanafanikiwa kwasababu mchezaji anataka timu yeye mwenyewe, kwanza hawasumbuani na mchezaji. Sasa sisi tunasumbukaaa weee.Yaani sipendi demu anapomsikilizia jamaa amuoe akiona jamaa anadem mwingine ndio arudi kwako, huyo namwaga tu, wachezajinkama hawa hawana nia ya kuichezea timu. Ile tunayopenda mchezaji acheze kufa kupona uwanjani sio hawo wanaochagua chagua.
Ndio maana sijapenda kuuzwa
1. Scott McTominay
2. Frederico Rodrigues Santos
3. Aron wan bissaka
4.
Hawa mpaka kesho nitaalani aliyewauza