NDio inasemekana


Masingeli banaa timu lako limemaliza phase 7 linaenda phase 8 mikono mitupu, kila msimu nyie mnakua wasindikizaji tu. et wana tour baran asiaNyie vibwengo mnacheza ligi gani huko China
Endeleeni kutamba, mwamba niko chaka najipanga.Mayatima fc, kwakweli munatia huruma sana ..sasa musimu ujao nasikia hamupo kwenye kombe lolote labuda epl tuu daah ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
🤣🤣🤣🤣😲😳😲😲😲😲😲Endeleeni kutamba, mwamba niko chaka najipanga.
Tukutane misimu miwili mbele.
Kila siku tukutane Msimu ujaoEndeleeni kutamba, mwamba niko chaka najipanga.
Tukutane misimu miwili mbele.
Mchizi boti umepotea kinoma aisee kitambo sana mzee wangu .. misimu miwili sisi tutakuwa na kikosi bora dunia, kwanza kuna iyo kombe mpya imeanzishwa lazima tupite nayo sisi tunakula kombe itakayoanzishwa 🤣🤣🤣🤣🤣Endeleeni kutamba, mwamba niko chaka najipanga.
Tukutane misimu miwili mbele.
Nyie Chelkenge ndio hamna kasheshe kabisa.Mchizi boti umepotea kinoma aisee kitambo sana mzee wangu .. misimu miwili sisi tutakuwa na kikosi bora dunia, kwanza kuna iyo kombe mpya imeanzishwa lazima tupite nayo sisi tunakula kombe itakayoanzishwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Timu haisukwi kama pakacha la kubebea papai.Kila siku tukutane Msimu ujao