Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbe mmelambwa bhana 😂

Anyway, karibuni kufurahia dkk za mwisho za timu kubwa hapo UK kuchukua ubingwa 💙
 
HADI WAKULIMA KUTOKEA KUALA LUMPA NDANINDANI MKOANI HANANG WAMETUVUNJA😂😂😂😂
FB_IMG_1748515068935.jpg
 
HADI WAKULIMA KUTOKEA KUALA LUMPA NDANINDANI MKOANI HANANG WAMETUVUNJA
View attachment 3349640
Masingeli banaa timu lako limemaliza phase 7 linaenda phase 8 mikono mitupu, kila msimu nyie mnakua wasindikizaji tu.
Timueni Tetea Kiwigi mchukueni kati ya Prisca Kishamba, Salum Mayanga au Juma Mgunda ndani ya misimu miwili tu mnabeba Epl.
tapatalk_-467365911_562x576.jpg
 
Endeleeni kutamba, mwamba niko chaka najipanga.
Tukutane misimu miwili mbele.
Mchizi boti umepotea kinoma aisee kitambo sana mzee wangu .. misimu miwili sisi tutakuwa na kikosi bora dunia, kwanza kuna iyo kombe mpya imeanzishwa lazima tupite nayo sisi tunakula kombe itakayoanzishwa 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mchizi boti umepotea kinoma aisee kitambo sana mzee wangu .. misimu miwili sisi tutakuwa na kikosi bora dunia, kwanza kuna iyo kombe mpya imeanzishwa lazima tupite nayo sisi tunakula kombe itakayoanzishwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie Chelkenge ndio hamna kasheshe kabisa.
Kuchukua kikombe chenu cha uji wa ulezi kelele kibao!
Natengeneza timu, ndani ya misimu miwili mbele, mutaongea kimasai.
Nakuhakikishia nitachukua ligi kuu kabla yako, huyo Arsenyonyo ndio kabisa anabidi atulie.
 
Back
Top Bottom