Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakisema wamfukuze mie ndio bye bye kabisa na hii timu.
Jamaa ana kitu tatizo hajapata wachezaji wake

Ten hag alilaumiwa kwa kutokuwa na style ya uchezaji

Ole aliondolewa kwa kucheza Old football

Sasa kidogo Amorin kakomaa na back three yake
 
Leo nafikiri tunatoa zawadi kwa Timu ya Malkia. Sioni driving force ya kuwafanya wachezaji wajitoe mhanga wakati huo Villa wanataka Champions Legual au Europa.
 
Jiwe walilolikataa waashi...
Scott-McTominay-celebrating-Napoli-Cagliari-768x512.jpg
 
Wanyonge wa ligi mmekaa zenu kimyaaaaa mkituangalia wenzenu jinsi tunaenjoy.

1748179517503.png
 
Man united mbona tunachelewa kusajili hivi shida Huwa ni nini??
Na kwanini tunasajili wachezaji wazuri lkn wakija wanakuwa wabovu, shida nini??
Na makocha wakija wanafeli japo wanakuwa makocha Bora kabla yakuja kwetu??
Yaani nje ya mabosi ineos na glazer nini tatizo?? Make me siamini wanasababisha wachezaji washindwe kupiga hata pass.

TATIZO NI NINI???
naombeni Kila mtu atoe maoni yake wakuu
Kuna mambo nje ya mpira myaweke Sawa nadhani,Alafu Timu iachwe ijengwe sio inajazwa kama Madrid wakati uwezo Wakawaida
 
Wanyonge wa ligi mmekaa zenu kimyaaaaa mkituangalia wenzenu jinsi tunaenjoy.

View attachment 3345281
Arsenyau anaenjoy nini sasa, msimu wa 3 mfululizo anaishia kusindikiza wenzake tu.
Yaani huna kombe lolote halafu unasema unaenjoy, ikiwa wewe pangu pakavu nilitilie mchuzi unajidai kuenjoy hao kina Liverpool, Newcastle, Crystal Palace na Spurs waliobeba makombe waseme nini?
1748190012139.jpg
 
Inachofanya united kwa Avl ni roho mbaya tu akose kwenda Ufcl
Binafsi sijapenda kabisa, nilitamani sana Villa na Forest wangefanikiwa kwenda Uefa ili Chelkenge akacheze Europa, ila kila nikikumbuka Villa na Unai Emery wao walivyotunyanyasa hii misimu miwili wacha tu na wao tuwatie uchungu kwa kukosa kwenda Uefa.
 
Bora msimu imekwisha. Uza baadhi ya wachezaji tupate pesa tununue wengine, watu kama kina Rashford, Garnacho, Malacia nk ni wa kuuza. Babu Erksen atembee na vikongwe vingine vyote viondoke hata Free.
 
Uongo hii...hapo kwa Man United ni uongo mtupu. Ma-star wengi wa United wamepambania Balon D'or na wengine wakachukua kabisa. Arse8 hakuna mtu aliwahi kuchukua.
 
Hii kikundi inability ishushwe jarada unaona wanaume nasikia tumeshinda huko yani similar ubingwa musimu ujao tunaondoka na ndoo Tatu kubwq, epl uefa na europa, Sasa nyie mambanga munategemea kubeba nini hahahahaha aise nyie ndio manjesta bwana hahahahaha 😂😂😂😂😂
 
Bora msimu imekwisha. Uza baadhi ya wachezaji tupate pesa tununue wengine, watu kama kina Rashford, Garnacho, Malacia nk ni wa kuuza. Babu Erksen atembee na vikongwe vingine vyote viondoke hata Free.
Hahaha Sasa timu gani itanunua wachezaji wenu hahaha hii manjesta labda hata maji maji fc inaweza kumaliza juu yenu kwannza mumebakiza mechi ngap nyie matakataka 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom