Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 1,196
- 1,463
Jamaa ana kitu tatizo hajapata wachezaji wakeWakisema wamfukuze mie ndio bye byekabisa na hii timu.
Ten hag alilaumiwa kwa kutokuwa na style ya uchezaji
Ole aliondolewa kwa kucheza Old football
Sasa kidogo Amorin kakomaa na back three yake
kabisa na hii timu.
