Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi kuna tetesi ya kusajili kiungo mwingine wa kukaba au tunaenda na Case na Ugarte kama kawaida yetu?
 
Hivi kuna tetesi ya kusajili kiungo mwingine wa kukaba au tunaenda na Case na Ugarte kama kawaida yetu?
Toeni 200 mil hivi muweze kuvutia kiungo atakeyekubali kuchezea timu iliyomaliza nafasi ya 15 na GD ya -10. La sivyo tegemeeni hao hao au mbarikiwe kupata mchezaji mkali ila hajulikani halafu afanye maajabu.
 
Nyumbu na Leo zimefungwa na waigizaji movie za kifilipino🤣🤣🤣 hiki kweli kikundi Cha wanenguaji
 

Attachments

  • IMG-20250528-WA0600.jpg
    IMG-20250528-WA0600.jpg
    62.5 KB · Views: 10
Kumbe mmelambwa bhana 😂

Anyway, karibuni kufurahia dkk za mwisho za timu kubwa hapo UK kuchukua ubingwa 💙
 
HADI WAKULIMA KUTOKEA KUALA LUMPA NDANINDANI MKOANI HANANG WAMETUVUNJA
View attachment 3349640
Masingeli banaa timu lako limemaliza phase 7 linaenda phase 8 mikono mitupu, kila msimu nyie mnakua wasindikizaji tu.
Timueni Tetea Kiwigi mchukueni kati ya Prisca Kishamba, Salum Mayanga au Juma Mgunda ndani ya misimu miwili tu mnabeba Epl.
tapatalk_-467365911_562x576.jpg
 
Back
Top Bottom