King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,314
- 5,988
Jamaa Ana kitu unaona kabisa.Jamaa ana kitu tatizo hajapata wachezaji wake
Ten hag alilaumiwa kwa kutokuwa na style ya uchezaji
Ole aliondolewa kwa kucheza Old football
Sasa kidogo Amorin kakomaa na back three yake