King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,067
- 5,280
Wakisema wamfukuze mie ndio bye bye 👋 kabisa na hii timu.Manchester united wasipomfukuza Amorin msimu kesho kutwa inarudi kuwa timu tishio
Wakisema wamfukuze mie ndio bye bye 👋 kabisa na hii timu.Manchester united wasipomfukuza Amorin msimu kesho kutwa inarudi kuwa timu tishio
Eh. Kama kweli basi hongera kwao ila mpaka sasa sijaona chochote kinachoniaminisha kuwa dili limekamilika zaidi ya stori tu za mitandaoni ambazo ni kawaida kipindi kama hiki.Upo dunia Gani wewe au upo usingizini watu washamaliza biashara
Sasa unataka atangazwe kwani ligi imeisha mzee kzi imeisha huyo kijana anacheza Liverpool Bayern walikua wanafuatilia pia raisi wao kasema wamemkosa mchana huu kaongeaEh. Kama kweli basi hongera kwao ila mpaka sasa sijaona chochote kinachoniaminisha kuwa dili limekamilika zaidi ya stori tu za mitandaoni ambazo ni kawaida kipindi kama hiki.
Jamaa ana kitu tatizo hajapata wachezaji wakeWakisema wamfukuze mie ndio bye byekabisa na hii timu.
Jamaa Ana kitu unaona kabisa.Jamaa ana kitu tatizo hajapata wachezaji wake
Ten hag alilaumiwa kwa kutokuwa na style ya uchezaji
Ole aliondolewa kwa kucheza Old football
Sasa kidogo Amorin kakomaa na back three yake
Kuna mambo nje ya mpira myaweke Sawa nadhani,Alafu Timu iachwe ijengwe sio inajazwa kama Madrid wakati uwezo WakawaidaMan united mbona tunachelewa kusajili hivi shida Huwa ni nini??
Na kwanini tunasajili wachezaji wazuri lkn wakija wanakuwa wabovu, shida nini??
Na makocha wakija wanafeli japo wanakuwa makocha Bora kabla yakuja kwetu??
Yaani nje ya mabosi ineos na glazer nini tatizo?? Make me siamini wanasababisha wachezaji washindwe kupiga hata pass.
TATIZO NI NINI???
naombeni Kila mtu atoe maoni yake wakuu
Wanyonge wa ligi mmekaa zenu kimyaaaaa mkituangalia wenzenu jinsi tunaenjoy.
View attachment 3345281


Arsenyau anaenjoy nini sasa, msimu wa 3 mfululizo anaishia kusindikiza wenzake tu. Inachofanya united kwa Avl ni roho mbaya tu akose kwenda Ufcl


Binafsi sijapenda kabisa, nilitamani sana Villa na Forest wangefanikiwa kwenda Uefa ili Chelkenge akacheze Europa, ila kila nikikumbuka Villa na Unai Emery wao walivyotunyanyasa hii misimu miwili wacha tu na wao tuwatie uchungu kwa kukosa kwenda Uefa.Hahaha Sasa timu gani itanunua wachezaji wenu hahaha hii manjesta labda hata maji maji fc inaweza kumaliza juu yenu kwannza mumebakiza mechi ngap nyie matakataka 😂😂😂😂😂Bora msimu imekwisha. Uza baadhi ya wachezaji tupate pesa tununue wengine, watu kama kina Rashford, Garnacho, Malacia nk ni wa kuuza. Babu Erksen atembee na vikongwe vingine vyote viondoke hata Free.