Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,294
huyu nae ni tapel pesa kapeleka wap? 😁Tafuteni kipa wa kueleweka mtamfilisi huyu babu
View attachment 3336171


Kukulela leo kamtia Amadinho kwenye mfuko wa shati, yaani anamtambia kabisa anamwambia "huku mbele leo haupiti wewe wala mpira"Acha afilisike kabisa kwa sababu timu wameiharibu wenyewe.Tafuteni kipa wa kueleweka mtamfilisi huyu babu
View attachment 3336171
Tafuteni kipa wa kueleweka mtamfilisi huyu babu
View attachment 3336171


Huyu babu acha afilisike tu, ikiwezekana aishiwe kabisa akose hata pesa ya kununulia viatu awe anatembea peku mjinga huyu, ameleta figusu mpaka Mwarabu kanyimwa timu kwa sababu yake kenge huyu.

Wachezaji wetu banaa raha sana, yaani tayari mmeshagongwa, dakika 90 zimeisha mnaongezewa dakika 7 wenyewe wanagonga back passes tu kwa raha zao, haya inabaki dakika moja mpira uishe wenyewe sio shida zao ni mwendo uleule wa back passes, tena wanarelax kabisa kama vile wao ndio wamebeba points3


Unai gani anakuja.???Tupewe kombe letu tu-focus na mambo ya msingi.
Unai akija OT inatakiwa akaribishwe na kombe baada ya fedheha aliyoipatia United na vijana wake wa the Yellow Submarine.
Unai Emery.Unai gani anakuja.???


Ila aliemroga Hojlund amhurumie basi japo kidogo, mwamba anateseka kinoma katika, Kwenye kutafuta tiba kaenda mpaka Bagamoyo kaambiwa Rashidi ndie aliemroga, kapewa hirizi aivae wakati wa mechi halafu kaifunika na bandage, lakini bado gps imesoma refa akamwambia akaivue

