christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,199
- 5,129
Tuna muda mrefu hatujapata ushindi wowote kutoka timu za premier league ikiwa leo tutashinda dhidi ya Tot japo ni dhaifu bas utakuwa ni muujiza.
Reform ni kuhamia ligi ya wanawake.Mimi naona bora tufungwe ili tufanye reform ya timu kuanzia kipa hatuna.
Na kweli tunajifunza amorini bolu tunashushia na pepsii y baridiiiii ....... sema hawa tott wananikera hawawezagi kulinda goli, labda cjui akikutana na wabovu wenzie. tuone leo.
Kombe linahitajika London


Wewe tulia hapohapo na kama una jero mfukoni agiza Pepsi baridiii, tunataka tuwaonyeshe burudani na kuwafundisha Chelkenge namna ya kubeba kombe kwa kupiga comeback katika dakika za lala salama. Sio leoWewe tulia hapohapo na kama una jero mfukoni agiza Pepsi baridiii, tunataka tuwaonyeshe burudani na kuwafundisha Chelkenge namna ya kubeba kombe kwa kupiga comeback katika dakika za lala salama.
Raha ya kubeba kombe kama hili ni vile dakika zinakaribia kuisha na mashabiki wanakua wameshaanza kukata tamaa halafu ghafla unawanyanyua mashabiki kwa shangwe la hatari, hua inaleta msisimko wa hali ya juu sana.