Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Na kweli tunajifunza amorini bolu tunashushia na pepsii y baridiiiii ....... sema hawa tott wananikera hawawezagi kulinda goli, labda cjui akikutana na wabovu wenzie. tuone leo.
Kombe linahitajika London


Wewe tulia hapohapo na kama una jero mfukoni agiza Pepsi baridiii, tunataka tuwaonyeshe burudani na kuwafundisha Chelkenge namna ya kubeba kombe kwa kupiga comeback katika dakika za lala salama. Raha ya kubeba kombe kama hili ni vile dakika zinakaribia kuisha na mashabiki wanakua wameshaanza kukata tamaa halafu ghafla unawanyanyua mashabiki kwa shangwe la hatari, hua inaleta msisimko wa hali ya juu sana.