Lloyd Munroe
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,259
- 35,533
Videmu vya kipare hivyo. Checki ngoko zile
Videmu vya kipare hivyo. Checki ngoko zile
Khanji una undugu na shaulini monk ten hag.Sasa wanangu itakuwaje
Si bora mngewaachia bilbao wamnyooshe huyo spurs🤣🤣🤣🤣
Picha linaanza son park dkk ya 3 na tisa anatupia
Half time manunu 0-2 spurs😅😅
FT mununu 1-5 spurs 😅😅
Fukuzen reuben kabla ya fainal mpen ten hag awape ndoo usiku wa leo
Huruma🤣🤣🤣🤣
Hata mourinho walisema akiingia fina lazima abebe ndoo kilichomtokea kwa sevilla hawakuamini.Kinachonitisha sio spurs bali hii kauli aliyosema Ange kocha wa Spurs.View attachment 3341305
Mbona unatutisha mkuuGolikipa wa spurs mnamjua? Toka apone injury hajaruhusu goal😁😁😁
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Karibuni sana mfurahie soka maridadi kabisa kutoka kwa vijana machachari wa kocha la makombe Ruben Amorim, pia hii ni fursa nzuri sana kwa Chelkenge kujifunza namna ya kucheza mpira kwa malengo.Leo tunaweka kambi rasmi hapa, tupo na bundi mmoja mkubwa sana.
Naogopa sanaTunashinda bila longolongo