Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tottenham 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 1-1 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man United

Real Betis 1-2 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea

PSG 2-2 Inter Milan

Tottenham win on penalties.
Chelsea win normal time.
PSG win on penalties.
 
Bila wanachama kuvimba na kuchachafya wamiliki MUFC haiamki mpaka miaka kadhaa ijayo.
Wanachama gani unao wazungumzia kwanza?
Hawahawa waliochachamaa wakafanya mpaka maandamano ya Glazer Out, kesho yake wakaonyeshwa picha na video za AI za uwanja mpya wakaanza kuunga mkono juhudi na kusahau agenda yao?
Msimu ambao utawaona mashabiki wa United wameanza kugomea kuingia uwanjani kushabikia timu yao ujue ndio msimu ambao timu yetu itafufuka rasmi, ila hizi kelele tu mitandaoni haziwezi kuizuia familia ya marehemu Glazzer kuendelea kufaidi mapato wanayochuma kutoka kwenye mali ya urithi wa baba yao.
images-5.jpg
 
Bro is begging Onana not to fumble today. 😭😭
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |
 

Attachments

  • VID_20250521_151947_368.mp4
    653.7 KB
Sasa wanangu itakuwaje

Si bora mngewaachia bilbao wamnyooshe huyo spurs🤣🤣🤣🤣

Picha linaanza son park dkk ya 3 na tisa anatupia

Half time manunu 0-2 spurs😅😅

FT mununu 1-5 spurs 😅😅

Fukuzen reuben kabla ya fainal mpen ten hag awape ndoo usiku wa leo

Huruma🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom