Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

05F5A1E3-C69B-4FB4-87D0-2838FEBD99F2.jpeg

Ratiba imetoka after party itafanyika London uwanja wa ASSno.
 
Karibuni sana mfurahie soka maridadi kabisa kutoka kwa vijana machachari wa kocha la makombe Ruben Amorim, pia hii ni fursa nzuri sana kwa Chelkenge kujifunza namna ya kucheza mpira kwa malengo.
Na kweli tunajifunza amorini bolu tunashushia na pepsii y baridiiiii ....... sema hawa tott wananikera hawawezagi kulinda goli, labda cjui akikutana na wabovu wenzie. tuone leo.
Kombe linahitajika London
 
Back
Top Bottom