Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,367
- 8,404
Onana amepoteza fainal 90🤣🤣🤣
Videmu vya kipare hivyo. Checki ngoko zile
Khanji una undugu na shaulini monk ten hag.Sasa wanangu itakuwaje
Si bora mngewaachia bilbao wamnyooshe huyo spurs🤣🤣🤣🤣
Picha linaanza son park dkk ya 3 na tisa anatupia
Half time manunu 0-2 spurs😅😅
FT mununu 1-5 spurs 😅😅
Fukuzen reuben kabla ya fainal mpen ten hag awape ndoo usiku wa leo
Huruma🤣🤣🤣🤣
Hata mourinho walisema akiingia fina lazima abebe ndoo kilichomtokea kwa sevilla hawakuamini.Kinachonitisha sio spurs bali hii kauli aliyosema Ange kocha wa Spurs.View attachment 3341305
Mbona unatutisha mkuuGolikipa wa spurs mnamjua? Toka apone injury hajaruhusu goal😁😁😁
Leo tunaweka kambi rasmi hapa, tupo na bundi mmoja mkubwa sana.


Karibuni sana mfurahie soka maridadi kabisa kutoka kwa vijana machachari wa kocha la makombe Ruben Amorim, pia hii ni fursa nzuri sana kwa Chelkenge kujifunza namna ya kucheza mpira kwa malengo.Naogopa sanaTunashinda bila longolongo