King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,314
- 5,988
Upuuzi tu
Tunashinda ata wakiongoza 3Naogopa sana
Naishiwa nguvu mimiTunashinda ata wakiongoza 3
😀😃😃😃😃😃😃😃😃Tunashinda ata wakiongoza 3
Na kweli tunajifunza amorini bolu tunashushia na pepsii y baridiiiii ....... sema hawa tott wananikera hawawezagi kulinda goli, labda cjui akikutana na wabovu wenzie. tuone leo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Karibuni sana mfurahie soka maridadi kabisa kutoka kwa vijana machachari wa kocha la makombe Ruben Amorim, pia hii ni fursa nzuri sana kwa Chelkenge kujifunza namna ya kucheza mpira kwa malengo.
Ndo hvyo hii mijamaa sio ya kuipa dhamana ....anyway COYS😁Na kweli tunajifunza amorini bolu tunashushia na pepsii y baridiiiii ....... sema hawa tott wananikera hawawezagi kulinda goli, labda cjui akikutana na wabovu wenzie. tuone leo.
Kombe linahitajika London
Reform ni kuhamia ligi ya wanawake.Mimi naona bora tufungwe ili tufanye reform ya timu kuanzia kipa hatuna.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe tulia hapohapo na kama una jero mfukoni agiza Pepsi baridiii, tunataka tuwaonyeshe burudani na kuwafundisha Chelkenge namna ya kubeba kombe kwa kupiga comeback katika dakika za lala salama.Na kweli tunajifunza amorini bolu tunashushia na pepsii y baridiiiii ....... sema hawa tott wananikera hawawezagi kulinda goli, labda cjui akikutana na wabovu wenzie. tuone leo.
Kombe linahitajika London