Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,020
- 51,537
Kinachomuua amorim ni formation, ni the same mistake ambalo tenhug alikuwa anafanya, kuanza na mabeki watatu nyuma ni kosa kama unacheza epl, haswa kama kiungo ni cha hovyoTatizo ni Amorim au wachezaji wetu hawana uwezo wa kutoshana nguvu na timu za Premier league.
Tottenham hotspurs tutaweza?
Msimu huu wametufunga mechi 3 na tuna muda mrefu hatujawafunga.
Asikilize opinion else team itashuka daraja