Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie wapumbavu sasa makombe yenu ni Mickey mouse
Hamuwezi tena kushindana kwa makom be makubwa
Spurs ana wasenyenda Jumatano ijayo
"Tandarahedi"
Nani sasa hayaogopi Majogoo ya Anfield?
Ndio mkatolewa na psg ambayo ni kibonde wa man united kwenye UEFA. Nyie ni mafala kweli mmeizalilisha EPL league pamoja na mpuuzi mwenzako arsenetflix. Psg kawashenyenta kwa dharau afu unakuja umu kulopoka upumbavu wako.
 
IMG_6729.jpeg
 
Kukulela leo kamtia Amadinho kwenye mfuko wa shati, yaani anamtambia kabisa anamwambia "huku mbele leo haupiti wewe wala mpira"
Ila huyu Ujirangi hapana haiseee, striker gani bana hajui hata kujiposition, mipira yote inamkuta yupo offside, kama vipi bora arudi nyuma akae beki halafu Maguire acheze mbele.
 
Wachezaji wetu banaa raha sana, yaani tayari mmeshagongwa, dakika 90 zimeisha mnaongezewa dakika 7 wenyewe wanagonga back passes tu kwa raha zao, haya inabaki dakika moja mpira uishe wenyewe sio shida zao ni mwendo uleule wa back passes, tena wanarelax kabisa kama vile wao ndio wamebeba points3
Kushabikia timu la dunia raha sana aiseee, yaani leo linakupa furaha halafu kesho linakupa presha.
Tukutane San Mamés May21 tukashuhudie fainali ya kiume kabisa kutoka kwa watoto wa Ange Postecoglou dhidi ya vijana machachari wa michuano ya Europa ambao tokea michuano imeanza mpaka wanaingia fainali hakuna timu yoyote iliyodiriki kuwafunga.
images-2.jpg
 
Tupewe kombe letu tu-focus na mambo ya msingi.

Unai akija OT inatakiwa akaribishwe na kombe baada ya fedheha aliyoipatia United na vijana wake wa the Yellow Submarine.
 
Back
Top Bottom