Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo ni Amorim au wachezaji wetu hawana uwezo wa kutoshana nguvu na timu za Premier league.

Tottenham hotspurs tutaweza?
Msimu huu wametufunga mechi 3 na tuna muda mrefu hatujawafunga.
Kinachomuua amorim ni formation, ni the same mistake ambalo tenhug alikuwa anafanya, kuanza na mabeki watatu nyuma ni kosa kama unacheza epl, haswa kama kiungo ni cha hovyo

Asikilize opinion else team itashuka daraja
 
Kinachomuua amorim ni formation, ni the same mistake ambalo tenhug alikuwa anafanya, kuanza na mabeki watatu nyuma ni kosa kama unacheza epl, haswa kama kiungo ni cha hovyo

Asikilize opinion else team itashuka daraja
Mkuu tuchel aliwezaje?
 
Sawa mkuu lakini, DOF wa united wanajua kwanini walimleta na kwanini walitaka playstyle yake iwe applied united, ina maan hata usajiri wa kuboresha wataufanya kwakuwa wameshaona wapi panavuja.
Hivi huyu dorgu naye DOF walihusika kumleta😂
 
Nyie wapumbavu sasa makombe yenu ni Mickey mouse
Hamuwezi tena kushindana kwa makom be makubwa
Spurs ana wasenyenda Jumatano ijayo
"Tandarahedi"
Nani sasa hayaogopi Majogoo ya Anfield?
 
Nyie wapumbavu sasa makombe yenu ni Mickey mouse
Hamuwezi tena kushindana kwa makom be makubwa
Spurs ana wasenyenda Jumatano ijayo
"Tandarahedi"
Nani sasa hayaogopi Majogoo ya Anfield?
Liverpool ana tim gan sasa?,
Kiufupi msimu huu tpl za epl zote zimechoka, hakuna yenye ushawishi wa maan.
 
Nyie wapumbavu sasa makombe yenu ni Mickey mouse
Hamuwezi tena kushindana kwa makom be makubwa
Spurs ana wasenyenda Jumatano ijayo
"Tandarahedi"
Nani sasa hayaogopi Majogoo ya Anfield?
Ndio mkatolewa na psg ambayo ni kibonde wa man united kwenye UEFA. Nyie ni mafala kweli mmeizalilisha EPL league pamoja na mpuuzi mwenzako arsenetflix. Psg kawashenyenta kwa dharau afu unakuja umu kulopoka upumbavu wako.
 
Back
Top Bottom