Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 2,211
- 3,517
KWanin alipokuwa sporting alikuwa anafanya vizuri?Hivi huyu dorgu naye DOF walihusika kumleta😂
KWanin alipokuwa sporting alikuwa anafanya vizuri?Hivi huyu dorgu naye DOF walihusika kumleta😂
Dorgu kacheza sporting lini?KWanin alipokuwa sporting alikuwa anafanya vizuri?
Nan kasema aliwahi kucheza sporting?Dorgu kacheza sporting lini?
Ndio mkatolewa na psg ambayo ni kibonde wa man united kwenye UEFA. Nyie ni mafala kweli mmeizalilisha EPL league pamoja na mpuuzi mwenzako arsenetflix. Psg kawashenyenta kwa dharau afu unakuja umu kulopoka upumbavu wako.Nyie wapumbavu sasa makombe yenu ni Mickey mouse
Hamuwezi tena kushindana kwa makom be makubwa
Spurs ana wasenyenda Jumatano ijayo
"Tandarahedi"
Nani sasa hayaogopi Majogoo ya Anfield?
huyu nae ni tapel pesa kapeleka wap? 😁Tafuteni kipa wa kueleweka mtamfilisi huyu babu
View attachment 3336171


Kukulela leo kamtia Amadinho kwenye mfuko wa shati, yaani anamtambia kabisa anamwambia "huku mbele leo haupiti wewe wala mpira"Acha afilisike kabisa kwa sababu timu wameiharibu wenyewe.Tafuteni kipa wa kueleweka mtamfilisi huyu babu
View attachment 3336171
Tafuteni kipa wa kueleweka mtamfilisi huyu babu
View attachment 3336171


Huyu babu acha afilisike tu, ikiwezekana aishiwe kabisa akose hata pesa ya kununulia viatu awe anatembea peku mjinga huyu, ameleta figusu mpaka Mwarabu kanyimwa timu kwa sababu yake kenge huyu.

Wachezaji wetu banaa raha sana, yaani tayari mmeshagongwa, dakika 90 zimeisha mnaongezewa dakika 7 wenyewe wanagonga back passes tu kwa raha zao, haya inabaki dakika moja mpira uishe wenyewe sio shida zao ni mwendo uleule wa back passes, tena wanarelax kabisa kama vile wao ndio wamebeba points3


Unai gani anakuja.???Tupewe kombe letu tu-focus na mambo ya msingi.
Unai akija OT inatakiwa akaribishwe na kombe baada ya fedheha aliyoipatia United na vijana wake wa the Yellow Submarine.
Unai Emery.Unai gani anakuja.???