Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Always nawaambia tatizo kubwa la hii timu ni wachezaji, hii timu Inahitaji wachezaji wa kazi kweli. Ona hizi goals zote ni makosa ya wachezaji wenyewe, tena Newcastle Wala hawatumii nguvu kabisa. Hii timu kama ikiwa na mentality ya Kuwa kocha ni tatizo basi wana safari ndefu sana ya kwenda, weka watu makini waingie mzigoni wakuletee watu wa maana, then kazi kwisha mhukumu kocha. Wewe unaleta viazi unataka ladha ya baga
 
Sasa hv team hazicheki na kima, mana ndo muda wa kila timu kukaa kwenye nafasi zao sahihi.

Nyumbu rudini kwenye ueropa ili atleast mkacheze uefa ili mkatie aibu vzr
 
Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Mkuu umenifilisi maneno,fikiria unamweka beki chipukizi.

Nadhani Mwl ni mpuuzi mkubwa.
 
Kipindi wenzetu wanachukua Tonali and Co, sisi mgt ilikuwa inadeal na stocks zake huku ikileta viande hahah, guys this is football Inahitaji quality Ili ushindane na wenzako, Sasa wewe unapoleta watu wa hovyo matokeo yake ni hayo, angalia goals tunazofungwa zoooooote ni blunders za wachezaji wetu hahah.
 
Commentator anasema hajui kwa nini GARNACHO ametolewa. Hawa makocha wetu nao ni shida kubwa. UGARTE amepwaya sana (nadhani kutokana na kadi aliyonayo) ndio alitakiwa atoke.
Mkuu umenifilisi maneno,fikiria unamweka beki chipukizi.

Nadhani Mwl ni mpuuzi mkubwa.
Mpuuzi sana.
 
Back
Top Bottom