ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Onana ni jipu, Hojlund hajui mpira.Amorim aendelee tu kuwakumbatia kina Onana na Hojlund ndio atajua kwanini kipara hua hakipakwi super black.
Onana ni jipu, Hojlund hajui mpira.Amorim aendelee tu kuwakumbatia kina Onana na Hojlund ndio atajua kwanini kipara hua hakipakwi super black.
Shabiki wa united na knowledge ya mpira ni maji na mafutaUsiongelee huyo mtu vibaya utachekwa na ulimwengu. Ukisikia mtu anatakiwa Bernabeu ogopa sana huyo mtu.
Nyi wanangu ujue mnatia huruma![]()


Arsenyau unapata wapi nguvu za kuwasikitikia mabingwa wa Europa 2024/2025?Sasa wewe punda kenge wangekubali kutoa hao uliotaja kwa mkopo kama walivyomtoa Sterling?KENGE mlienda Chelsea mkamkuta Enzo, Jackson, Palmer, Neto mkaondoka na STERLING..
Ukimaliza kuvuta bangi rudiArsenyau unapata wapi nguvu za kuwasikitikia mabingwa wa Europa 2024/2025?
Umetisha mwanetu😁 kumbe livakuku kanipa correct score
Kwa hiyo huyo unamlinganisha na Mchele...😆😆😆😆😆😆😆 sijui inakuwaje kwenye ushabiki watu wanaondoa akili zao za kawaida na kuwaza kwa kutumia .. .. ..Shabiki wa united na knowledge ya mpira ni maji na mafuta
Ngumu kumlinganisha Panya na Mchele. Wana roles tofauti.Kwa
Kwa hiyo huyo unamlinganisha na Mchele...😆😆😆😆😆😆😆 sijui inakuwaje kwenye ushabiki watu wanaondoa akili zao za kawaida na kuwaza kwa kutumia .. .. ..
Kwanza ni aibu kubishana na shabiki wa timu ya mpira haijawahi kushinda kombe lolote la Ulaya. Nawashauri mashabiki wa arse8 mhamie LEEDS angalao wao walishashinda Ulaya.Arsenyau unapata wapi nguvu za kuwasikitikia mabingwa wa Europa 2024/2025?
nyukesto nawategemea 🔥Umetisha mwanetu
Ebwana utabiri wako unakamilika😁 kumbe livakuku kanipa correct score
Yametimia au badoisak + gordon = 3-1 man u kafa
😱 refa maliza mpira m nakaa mbali 😁Yametimia au bado