Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Sijasema hakuna kama Bruno na Casemiro. Nilisema kuwa WCP maana yake upo kwenye kundi la wachezaji bora Duniani, na kuwa hapo lazima uwe una-perform consistently kwenye Club & County/International level.Kwahiyo duniani hakuna kama Bruno na hakuna kama Casemiro?
Ulihamia Wolves. What happened?
Arsenal wachezaji ninaoona wanaoweza kufikia kuwa WCP ni Saka, Rice & Saliba.
World Class Player, kwa sasa inatumika vibaya mpaka mchezaji kama Yamal ambaye hajafanya lolote kwenye soka anaitwa WCP.
EPL ukisema WCP:
GK: Alisson, Ederson
Def: Vv Dijk
Mid: KDB, Bruno, Rodri, Casemiro
Fwd: Salah, Haaland, Son H-M
Nilikuwa Brighton kwa muda tu!