mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Mambo ni vipi mzee babaTunashinda hii game
GGMU
Mambo ni vipi mzee babaTunashinda hii game
GGMU
We si uliamia Brighton yaani kabisa unatarajia man u ikupe burudani sahau🤣🤣🤣🤣Mashabiki wa United hatupati burudani wala makombe. Yaani, timu ipo-ipo tu.
Onana ameonekana akichekea chooniLeo hayupo Onana wa kumtupia lawama
Hatari .... Naona sasa mbadili kikosi chote hamna wache,ani yaani beki yolo...ukimwangalia tuu unaona kabisa huyu rojorojo kabisaMashabiki wa United hatupati burudani wala makombe. Yaani, timu ipo-ipo tu.
Pain bro, pain everywhereMambo ni vipi mzee baba