Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,920
- 75,768
Maguire beki kisiki😅😅😂😂Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Maguire beki kisiki😅😅😂😂Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Mmeacha kusema mtapiga kama ngoma 😂😂friend match 😁
View attachment 3303043
alifanya makosa kuwatoa rashford & antony kwa pamojaAisee qqmmmae naona amemuweka hadi yule dogo fala garnacho🤢🤢
Muwe
isak + gordon = 3-1 man u kafaMmeacha kusema mtapiga kama ngoma 😂😂
HahahhaahTugeeni Zirkzee tuwagee Kai
😁 tinga tingaNyumbu mlienda PSG mkamkuta Vitinha, Zaire, Barcola nyinyi mkaondoka na Ugarte
Sahv Psg wanachekelea hyo hela waliyoapataNyumbu mlienda PSG mkamkuta Vitinha, Zaire, Barcola nyinyi mkaondoka na Ugarte
UGARTE akishapewa kadi anakuwa ovyo kabisa. Bora amuweke CASEMIRO mapema.Tunashinda hii game
GGMU
Tayari 1 - 1 ngoja tuoneisak + gordon = 3-1 man u kafa