Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama unamaanisha winners wa trophies za dunia mbona unaforce kumuingiza Bruno? Silva unamchukuliaje?
Siyo makombe, ni individual performances. Bruno si-force kumuingiza kwenye list, namba zipo, kwenye misimu 9 kuanzia Sporting Bruno ana uhakika wa 15 G/A kwenye ligi tu na kuna misimu aliyofanya vizuri zaidi:

2018/19: 33 games, 33 G/A
2020/21: 37 games, 30 G/A

Silva, Bernardo? Kama ni huyo anafanya vizuri lakini kwenye G/A hakuna consistency.
 
INEOS.
formation_11_04_2025_ 01_05_00.png
 
Siyo makombe, ni individual performances. Bruno si-force kumuingiza kwenye list, namba zipo, kwenye misimu 9 kuanzia Sporting Bruno ana uhakika wa 15 G/A kwenye ligi tu na kuna misimu aliyofanya vizuri zaidi:

2018/19: 33 games, 33 G/A
2020/21: 37 games, 30 G/A

Silva, Bernardo? Kama ni huyo anafanya vizuri lakini kwenye G/A hakuna consistency.
Ikiwa World Class Player means individual performance na nyinyi mna World Class Players kwanini hawatumii individual brilliance yao kuwafikisha sehemu sahihi kama makocha mnaopata ni clueless?
 
Onana Leo a napumzika, ngoja tone huyo mwingine. I wish tuwafunge New Castle.
 
Nyie viazi mnatakiwa kushinda leo tupo upande wenu, sasa mkatikise matak# tu huko uwanjani badala ya kucheza mpira.

Wale wa utabiri mtupishe tu kwa leo.
 
LEO HAMAS WA SOKA A.K.A ONANA HATACHEZA.

AHSANTE SANA REUBENI
Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
 
Aisee qqmmmae naona amemuweka hadi yule dogo fala garnacho🤢🤢
Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Muwe
 
Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Maguire beki kisiki😅😅😂😂
 
Back
Top Bottom