Watu bado kidogo wakuone wewe ni masihi uliyetabiriwa kuja.madrid atapindua meza jiandaeni
Kumbe ni chura mwingine tu
Watu bado kidogo wakuone wewe ni masihi uliyetabiriwa kuja.madrid atapindua meza jiandaeni
🤣 onana mkuda kachana kekaWatu bado kidogo wakuone wewe ni masihi uliyetabiriwa kuja.
Kumbe ni chura mwingine tu
😅🤣 onana mkuda kachana keka
nimemuona anamwambia cherki mpira huo funga 🤣
Siyo makombe, ni individual performances. Bruno si-force kumuingiza kwenye list, namba zipo, kwenye misimu 9 kuanzia Sporting Bruno ana uhakika wa 15 G/A kwenye ligi tu na kuna misimu aliyofanya vizuri zaidi:Kama unamaanisha winners wa trophies za dunia mbona unaforce kumuingiza Bruno? Silva unamchukuliaje?
Ikiwa World Class Player means individual performance na nyinyi mna World Class Players kwanini hawatumii individual brilliance yao kuwafikisha sehemu sahihi kama makocha mnaopata ni clueless?Siyo makombe, ni individual performances. Bruno si-force kumuingiza kwenye list, namba zipo, kwenye misimu 9 kuanzia Sporting Bruno ana uhakika wa 15 G/A kwenye ligi tu na kuna misimu aliyofanya vizuri zaidi:
2018/19: 33 games, 33 G/A
2020/21: 37 games, 30 G/A
Silva, Bernardo? Kama ni huyo anafanya vizuri lakini kwenye G/A hakuna consistency.
Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?LEO HAMAS WA SOKA A.K.A ONANA HATACHEZA.
AHSANTE SANA REUBENI
MuweMs*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Maguire beki kisiki😅😅😂😂Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Mmeacha kusema mtapiga kama ngoma 😂😂friend match 😁
View attachment 3303043
alifanya makosa kuwatoa rashford & antony kwa pamojaAisee qqmmmae naona amemuweka hadi yule dogo fala garnacho🤢🤢
Muwe
isak + gordon = 3-1 man u kafaMmeacha kusema mtapiga kama ngoma 😂😂