Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa hv team hazicheki na kima, mana ndo muda wa kila timu kukaa kwenye nafasi zao sahihi.

Nyumbu rudini kwenye ueropa ili atleast mkacheze uefa ili mkatie aibu vzr
 
Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Mkuu umenifilisi maneno,fikiria unamweka beki chipukizi.

Nadhani Mwl ni mpuuzi mkubwa.
 
Kipindi wenzetu wanachukua Tonali and Co, sisi mgt ilikuwa inadeal na stocks zake huku ikileta viande hahah, guys this is football Inahitaji quality Ili ushindane na wenzako, Sasa wewe unapoleta watu wa hovyo matokeo yake ni hayo, angalia goals tunazofungwa zoooooote ni blunders za wachezaji wetu hahah.
 
Commentator anasema hajui kwa nini GARNACHO ametolewa. Hawa makocha wetu nao ni shida kubwa. UGARTE amepwaya sana (nadhani kutokana na kadi aliyonayo) ndio alitakiwa atoke.
Mkuu umenifilisi maneno,fikiria unamweka beki chipukizi.

Nadhani Mwl ni mpuuzi mkubwa.
Mpuuzi sana.
 
Mlivyomfunga Man Cty mkajua ligi yenu hii 😂 mana sio kwa kelele zile
 
Man United's defence
IMG-20250413-WA0453.jpg
 
Vp wakuu mmemuonaje huyu dogo???
Au ni bora tuendelee na robot dorgu?🤣
20250413_211444.jpg
 
Back
Top Bottom