Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hii bayen kumbe butu sana imezoea kufunga vitim vidogodogo kama arsenal. ndio maana rekodi yao mechi tatu za mwisho hawajashinda hata moja.
 
Mkuu NZI, nakuhakikishia bila Felaini hapa tutateseka sana sijui kwa nini amemuacha england.
 
Fletcher anatakiwa kucheza kiugumu kama Valencia unavyoona hapo. tatizo fletcher mwepesi sana,veery soft watu wanampita tu hapo hata hawamuogopi.kiungo hapo inatakiwa uwe na moyo wa chuma.
 
Mkuu NZI, nakuhakikishia bila Felaini hapa tutateseka sana sijui kwa nini amemuacha england.

Chifu, hii game lazima tufunge goli...sasa Fellaini angefaa sana kama tungekuwa tumeshinda game ya kwanza...
 
Mbona sina timu ninayoshabikia kwenye hii gemu lakini roho inanidunda hivi?!
 
Umeona refa alivyo mshenz*....Lahm pale alistahili kadi...

Visingizio ndio kitu gani hiyo...

Tehe tehe teheheeee...leo hata lugha ya kiswahili huielewi...ila we ni namba moja kwenye kumkosoa DM...Mara angemtoa flani mara kwannn hajampanga huyu...Leo mpaka Kagawa ndani, msiwe na visingizio.
 
hii bayen kumbe butu sana imezoea kufunga vitim vidogodogo kama arsenal. ndio maana rekodi yao mechi tatu za mwisho hawajashinda hata moja.

Mkuu amini bila refa kubeba Buyern hamna kitu pale...
 
Hii game mbona kama Bayern ana harufu ya kufungwa?tena ghafla tu,kama lile goli la Rooney la siku ile...aargh,nimesema sishabikii timu,..toobaa,huyu Ribery mbona mnoko,uuph,bora kakosa..aargh,sishabikii nimesema!
 
Back
Top Bottom