Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,786
- 103,680
Wameshinda afu bado nafasi ya 12 😂 sasa umuhimu wa kumfunga City uko wap 😂Sasa nyie mmeshinda ili iweje?
Wameshinda afu bado nafasi ya 12 😂 sasa umuhimu wa kumfunga City uko wap 😂Sasa nyie mmeshinda ili iweje?
Nyumbu siwakubali ila leo nimefurahi ili tuzidi kupendeza pale juuNyumbu mmetisha HONGERENI sana. 👏👏👏👏
Ahsante sana gigy money ila mna midomoNyumbu mmetisha HONGERENI sana. 👏👏👏👏
nawewe punguza kiherehere kabla mechi haijaisha.Kisa amefunga au sio, sisi mashabiki muendelee kubaki kushabikia tuu acheni kujifanya wachambuzi baada ya mechi
Bc mmeshinda mna nguvu ya kujibu watu 😂 tambeni wakuu huu ndo wakati wenu na nafasi yenu ya 13 huko 😂nawewe punguza kiherehere kabla mechi haijaisha.
Bc mtaongea vya kutosha 😂We kama unaona mancity kaonewa leta timu yako
Ngapi huko hii Sunday???Cooked by Timber on Wednesday
Cooked by Wood On Sunday
Will be Cooked by Stones on Sunday
Umenuuuna huko ulipo.Mmebanduliwa 😂
Muda wenu wa kuvimba huu ila Mm shabiki wa Chelsea nafurah mlivyoshinda mana nazidi kupendeza kule juuUmenuuuna huko ulipo.
unajua boli kweli auTafuteni kipa na kocha wa kueleweka NYUMBU nyie.
unajua boli kweli au