Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo kidogo naona boli linatembea,second half tunaenda kupiga come back nyingine tena..Dialo na Garna watahusika katika magoli yatakayopatikana
 
Tafuteni beki wa kueleweka

images (1).jpg
 
Unacheza back 3 na timu inayoishi kwa counter 😂😂😂
 
Leo kidogo naona boli linatembea,second half tunaenda kupiga come back nyingine tena..Dialo na Garna watahusika katika magoli yatakayopatikana
Hilo Boli gani labda bolibo mshalambwa chuma 3 😂 ...kamubaki labda kwenye dream league
 
Back
Top Bottom