hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,641
Huna uwezo,wewe utabaki nafasi ya 13-18Nyambafu gape langu na wazee wa tawi ni points 8 tu, soon nakukuta jiandae 😂
Na ukikutana na Mimi nakubonda ,
Natamani nipangiwe na wewe kila siku🤣🤣
Huna uwezo,wewe utabaki nafasi ya 13-18Nyambafu gape langu na wazee wa tawi ni points 8 tu, soon nakukuta jiandae 😂
🤣🤣🤣 Wewe wakuongea hivyoWewe manjesta unagombea kushuka daraja🤣🤣🤣
Pumbaff kabisa ,
Chelsea anajua kabisa hana pumzi
Tunakutana FA hapo keshokutwa, mwakani Arteta kibarua lazima kiruke 😂Huna uwezo,wewe utabaki nafasi ya 13-18
Na ukikutana na Mimi nakubonda ,
Natamani nipangiwe na wewe kila siku🤣🤣
Sasa huyu city mzee si kalambwa mpaka na bournemouth..ngoja timu zetu zinafuata baada ya mechi ya city🤣We kama unaona mancity kaonewa leta timu yako
Mkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.Kila mtu mwenye uhuru wa kufikiri alijua tatizo la man utd linaanzia kwa Rashford, Kama Amorin atakuwa bold enough kumuondoa kikosini au hata kumpiga bench, he deserves my respect for that.
Rashford na garnacho zile ni talent asiache ziende kizembe,atafute mfumo wa kuwafitMkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
Mkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
Mtani upo? Utabiri wako uenda ukatimia aisee! Ama?Man U haji kuwa bingwa wa EPL labda miaka 10 toka sasa!
Mkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
Kuna kasumba ya kushikilia english players hata kama wana underperform. Rushford ameshaingia huko, huyu si mtoto tena ni wa kumuacha aendeKocha kaongea ukweli, Rashy anashida na anaigharimu team kiujumla.
Leo wamemuanzisha kipa wamemtoa kwa wale waigizaji waturuki kina ertugul bay😂Tafuteni kipa wa kueleweka.