Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,851
- 103,802
Hawa tuwape madueke tuu 😂Wazee mshinde tuwasamehe nyongeza ya pesa kidogo kwa MOUNT. Na mkishinda leo tutawapa bure mashine nyingine ya magoli STERLING.
Hawa tuwape madueke tuu 😂Wazee mshinde tuwasamehe nyongeza ya pesa kidogo kwa MOUNT. Na mkishinda leo tutawapa bure mashine nyingine ya magoli STERLING.
Tunataka mpaka ashindwe kucheza ht kwa dkk moja ndio itakuwa furaha yetu imetimia, leo alivyoanza roho imeniuma sana 😂Umbwa kabisa nyie mmetuuzia scraper kwa pesa za kusajili mchezaji mwenye Ballon d'Or.
Chukueni chezaji lenu mturudishie japo nusu ya pesa yetu matapeli wakubwa nyie.
Samahani wazee MOUNT kapata tatizo la kiufundi, mifumo mwilini imeshindwa kusomana, ila ni mashine ya kazi msisite kutuongezea pesa


Mmamae mkatudanganya Freemason ni version mpya ya Christiano Ronaldo na kwenye mkataba mkatulazimisha tumpe jezi namba 7 wajaa laana nyie.unasema???Mmelambwa 😂
Kisa amefunga au sio, sisi mashabiki muendelee kubaki kushabikia tuu acheni kujifanya wachambuzi baada ya mechiNarudia tena AMAD ni MESSI
Mmefufuka eeeunasema???