Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mi wanachonichekesha mashabiki wa nyumbu dunia nzima wakishinda mechi wanasahau kila kitu wanaanza kuwahype wachezaji wao.

Mara Hojlund anahojiwa anakuambia mi napenda back 3 ndiyo inanifaa. Wakati uingereza ukicheza back 3 inabidi uwe physical haswa ili usifumwe out of position, Hakika Ruben hajui hilo anadhani yupo Ureno

Selikavu kazi ya kuivuka mitihani inawashinda hadi siku muifikie Arsenal mpo hoi.
 
Msimu wakati unaanza Onana anakuambia msimu huu nimejiandaa kutake risks. Nikajiuliza risks gani kumbe za kupigwa goli 5 mechi 2.

Sasa hivi GD inaanza kusoma negative
 
Hawa kila msimu wana maliza na GD ya negative
Msimu wakati unaanza Onana anakuambia msimu huu nimejiandaa kutake risks. Nikajiuliza risks gani kumbe za kupigwa goli 5 mechi 2.

Sasa hivi GD inaanza kusoma negative
 
Nagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
 
Nagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
Ukiona ama.kujiona unajua kutukana sana basi wewe ni certified fukara. Yan wewe hadi unakufa utabaki kua fukara tu.
 
Mi wanachonichekesha mashabiki wa nyumbu dunia nzima wakishinda mechi wanasahau kila kitu wanaanza kuwahype wachezaji wao.

Mara Hojlund anahojiwa anakuambia mi napenda back 3 ndiyo inanifaa. Wakati uingereza ukicheza back 3 inabidi uwe physical haswa ili usifumwe out of position, Hakika Ruben hajui hilo anadhani yupo Ureno

Selikavu kazi ya kuivuka mitihani inawashinda hadi siku muifikie Arsenal mpo hoi.
Ngoja tuingie sokoni January
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Amoxicillin atapigwa Hadi akimbie hii ligi

Hii timu Bora angeachiwa Rudi banistroi

Banistroi alikuwa anatumia 4-2-3-1 akawa anatembea vzr tu,

Kaletwa huyu muhindi analeta mambo ya 3-4-3, Je manjesta yanited Ina profile za hao wachezaji wakucheza 3-4-3?

Manjesta Ina wachezaji wanaweza kusafa muda wote,?

3-4-3 inahitaji wachezaji wawe kama punda , sasa manjesta Ina wala urojo kina Anthony Santos makudubela,MBE markosi Rashidi mpemba, Garnacho mrithi halali wa Mbuzi wa mchongo Cr7,

Ni mapema kumjaji kocha wenu Muhindi Amoxicillin, lakini asipotulia EPL itamtoa kamasi

EPL kila mtu kambale
 
Back
Top Bottom