Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wametengeneza mabango ya kuadhimisha kifo che legend wao nikadhani hata yatakua na aibu yatajishikilia kumbe haya ni mlenda kabisa
 
[emoji599] Confirmed: Arsenal will face Manchester United at the Emirates Stadium in the FA Cup third round on Sunday, 12 January at 3pm (UK time), live on BBC. [emoji736][emoji342]p

Mnakuja tena geto
Hii ndio tunawapiga mkono sasa
Oyaa Waoneeni huruma hata kidogo mazee
Hao watu wanatakiwa tuwaweke kwenye special group,tuwapende, tusiwanyanyase!!
 
[emoji599] Confirmed: Arsenal will face Manchester United at the Emirates Stadium in the FA Cup third round on Sunday, 12 January at 3pm (UK time), live on BBC. [emoji736][emoji342]p

Mnakuja tena geto
Hii ndio tunawapiga mkono sasa
Tena yote tunapiga vichwa tu
Ni waaa!...
 
Screenshot_20241208_120451_Chrome.jpg

Imekuwaje?
 
Mfafukuza makocha mara ma sporting director ila kama golini yupo Onana basi mtaendelea kuumia kenge nyie. Tafuteni kipa wa kueleweka.
 
3 5 2 sijui 3 4 3 haijawahi kufanikiwa EPL alijaribu kidogo Conte na Chelsea lakini haikudumu.

Huwezi kushinda mechi na 3 5 2 au 3 4 3 Kama 90% ya wachezaji wako hawako vizuri kiuchezaji.

Ruben Amorim asipoangalia atafukuzwa kabla ya Chrismass.
 
[emoji599] Cooked by Timber on Wednesday

Cooked by Wood On Sunday

Will be Cooked by Stones on Sunday
 
Back
Top Bottom