Umwana angee😂KASONGO YEEEYE,
MUMBALI NANGAA,
KASONGO MBONA WEWO,
SONGA LIBALA OOH YE YE YE YE
KASONGO MBONA WEWO, MBONA WE WOOO
MUMBALI NANGA YEEEE
Msimu wakati unaanza Onana anakuambia msimu huu nimejiandaa kutake risks. Nikajiuliza risks gani kumbe za kupigwa goli 5 mechi 2.
Sasa hivi GD inaanza kusoma negative
Ukiona ama.kujiona unajua kutukana sana basi wewe ni certified fukara. Yan wewe hadi unakufa utabaki kua fukara tu.Nagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
Oya badilisheni lugha mazee ,duhNagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
Ukiona ama.kujiona unajua kutukana sana basi wewe ni certified fukara. Yan wewe hadi unakufa utabaki kua fukara tu.
Unateseka ukiwa wapi?Ukiona ama.kujiona unajua kutukana sana basi wewe ni certified fukara. Yan wewe hadi unakufa utabaki kua fukara tu.
Ngoja tuingie sokoni JanuaryMi wanachonichekesha mashabiki wa nyumbu dunia nzima wakishinda mechi wanasahau kila kitu wanaanza kuwahype wachezaji wao.
Mara Hojlund anahojiwa anakuambia mi napenda back 3 ndiyo inanifaa. Wakati uingereza ukicheza back 3 inabidi uwe physical haswa ili usifumwe out of position, Hakika Ruben hajui hilo anadhani yupo Ureno
Selikavu kazi ya kuivuka mitihani inawashinda hadi siku muifikie Arsenal mpo hoi.
MoureneHuyu kocha ni Amorim au ni Amoxyclin