Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Ila kuwatwanga Man U huwa kuna raha sana...mechi ya nne mfululizo tukikutana ni makonzi ya ulimi tu mnapata.....safari hii mkapigwa kwa style mpya ya Kona goli....Kuna kipindi cha mzee Wenger Ferguson alishawahi kutupangia timu yake kuanzia namba 2 mpk 11 wte ni mabeki tupu na mkatufunga ile iliniuma sana.....Sasa kibao kimegeuka....bdo January tuna jambo letu na nyny tena.....kajifundisheni kuzuia Kona tena upya halafu mje vinginevyo mtatulaumu tena tu majirani


haka nako pia ni kamdomooo