hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,683
ile waliingia sana tu, sijui kwanini wakicheza na Arsenal wanakuwa waoga kuja mbele ,mechi nyingi hawafikagi kwenye box mara kwa mara ,Hivi Ile mechi ya Liverpool msimu wa 2021/22 waliyopigwa 4-0 Anfield waliingia langoni Mara ngapi?

