Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kijukuu cha vasco da gama kimesema nawajua wachezaji wangu ipo siku itatokea dhahama🤣🤣🤣🤣

Anwshakaa nao mazoezini anajua timu imeoza
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa kutandika hawa msitu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction
Manchester United 3 vs msitu 1

Tutapiga kama ngoma.
1733588327116.jpg
 
Mlishaambiwa hakunaga muhindi akawa kocha wa football!! mkakaza fuvu!
Haya sasa ona jinsi mnavyodhalilishwa tena mpo nyumbani,mbele ya wake zenu....
 
AMAD inatakiwa acheze Barcelona sio hapa. Pale anamuweka bench hata Lamine Yamal.
 
Back
Top Bottom