Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi Ile mechi ya Liverpool msimu wa 2021/22 waliyopigwa 4-0 Anfield waliingia langoni Mara ngapi?
ile waliingia sana tu, sijui kwanini wakicheza na Arsenal wanakuwa waoga kuja mbele ,mechi nyingi hawafikagi kwenye box mara kwa mara ,
 
ile waliingia sana tu, sijui kwanini wakicheza na Arsenal wanakuwa waoga kuja mbele ,mechi nyingi hawafikagi kwenye box mara kwa mara ,
Chelsea na united tuna chukua EPL kabla yenu.
He who's laugh the last, laugh the best
 
Small Teams that will finish above United:

1. Aston Villa
2. Newcastle
3. Brentford
4. Fulham
5. Brighton
6. Nottingham Forest
7. Bournemouth
 
Bhangi mbaya sana,watu mmeshinda Kwa set pieces ila midomo imezidi wakati ligi mara ya mwisho arsenal amebeba 2005.

Tumemfukuza ten hag ambaye amecheza fainali 3 na kubemba makombe mawili 2, arteta akiwa hana kombe hata moja la maana.

Liverpool wamepata kocha mpya baada ya klopp kuondoka,lakini unaona kabisa ndani ya msimu wa kwanza kocha wao anaonesha uwezo wake wa kutaka kubemba makombe makubwa, na lazima atabeba kabla ya arteta..

Mashabiki wa arsenal Wana midomo sana, utafikiria timu yao ni bora sana, wakati niya kawaida kama Nottingham forest ana UEFA champions mbili nyie hata moja hamna kazi ni midomo tu ngoja tuone kama mtachukua ligi Kwa set pieces
 
Bhangi mbaya sana,watu mmeshinda Kwa set pieces ila midomo imezidi wakati ligi mara ya mwisho arsenal amebeba 2005.

Tumemfukuza ten hag ambaye amecheza fainali 3 na kubemba makombe mawili 2, arteta akiwa hana kombe hata moja la maana.

Liverpool wamepata kocha mpya baada ya klopp kuondoka,lakini unaona kabisa ndani ya msimu wa kwanza kocha wao anaonesha uwezo wake wa kutaka kubemba makombe makubwa, na lazima atabeba kabla ya arteta..

Mashabiki wa arsenal Wana midomo sana, utafikiria timu yao ni bora sana, wakati niya kawaida kama Nottingham forest ana UEFA champions mbili nyie hata moja hamna kazi ni midomo tu ngoja tuone kama mtachukua ligi Kwa set pieces
Sasa unatakaje tumfukuze kocha aliyeturudisha UEFA na anayefanya tuwasumbue humu? Slot hujui kama amerithi kikosi kilichokuwa kwenye mbio za ubingwa msimu uliopita, kwani sio Liverpool iliyokuwa inaongoza ligi paka February? Ten hag ana kombe gani la maana ambalo Arteta hajachukua?
 
Sasa unatakaje tumfukuze kocha aliyeturudisha UEFA na anayefanya tuwasumbue humu? Slot hujui kama amerithi kikosi kilichokuwa kwenye mbio za ubingwa msimu uliopita, kwani sio Liverpool iliyokuwa inaongoza ligi paka February? Ten hag ana kombe gani la maana ambalo Arteta hajachukua?
Wanasema eti carabao man
 
Sasa unatakaje tumfukuze kocha aliyeturudisha UEFA na anayefanya tuwasumbue humu? Slot hujui kama amerithi kikosi kilichokuwa kwenye mbio za ubingwa msimu uliopita, kwani sio Liverpool iliyokuwa inaongoza ligi paka February? Ten hag ana kombe gani la maana ambalo Arteta hajachukua?
Kumbe arsenal kushiriki UEFA, na kumfunga Manchester united ndio mafanikio makubwa ya kocha wenu arteta😁
 
Wanasema eti carabao man
Kwa mda aliokaa ten hag Manchester na kucheza fainali 3 na kubemba ndio mbili 2 hata kama sio za maana ila jua amemzidi kocha wenu arteta ambaye hakubeba chochote.

Bebeni ligi na UEFA nasio kuishia nafasi ya pili kwenye ligi, hivi hamuoni aibu hadi Nottingham forest ana UEFA champions mbili nyie patupu.
 
Manjesta mmeshakuwa mteja wetu

Kama kunywa maji tu ,tunajipigia tu 😂😂😂😂

Arteta vs Manjesta

Mechi 10
Win 7
Draw 1
Lost 2

Mlimzoea Wenger anawachekea ,

Arteta hacheki na manjesta,ni anawabonda tu
 
Manjesta mmeshakuwa mteja wetu

Kama kunywa maji tu ,tunajipigia tu 😂😂😂😂

Arteta vs Manjesta

Mechi 10
Win 7
Draw 1
Lost 2

Mlimzoea Wenger anawachekea ,

Arteta hacheki na manjesta,ni anawabonda tu
masingeli 🤣 storm is comin'
 
Manjesta mmeshakuwa mteja wetu

Kama kunywa maji tu ,tunajipigia tu 😂😂😂😂

Arteta vs Manjesta

Mechi 10
Win 7
Draw 1
Lost 2

Mlimzoea Wenger anawachekea ,

Arteta hacheki na manjesta,ni anawabonda tu
Wakandwe hivyo hivyo mpaka waite maji mmmaaaa....
 
Manjesta mmeshakuwa mteja wetu

Kama kunywa maji tu ,tunajipigia tu

Arteta vs Manjesta

Mechi 10
Win 7
Draw 1
Lost 2

Mlimzoea Wenger anawachekea ,

Arteta hacheki na manjesta,ni anawabonda tu
kamdomooo
Kamdomo ndio kanakowaponza, miaka 20 bila Epl, kamdomo kamewafanya toka timu ianzishwe hakuna kombe lolote la ulaya sio Uefa, Europa wala Conference league mloshinda, kamdomo ndio kamesababisha Arteta msimu wa 8 huu na Arsenyo hakuna kombe lolote aliloshinda zaidi ya Mwanafa.
Kamdomooo, kamdomooo, kamdomooo.
 
Bhangi mbaya sana,watu mmeshinda Kwa set pieces ila midomo imezidi wakati ligi mara ya mwisho arsenal amebeba 2005.

Tumemfukuza ten hag ambaye amecheza fainali 3 na kubemba makombe mawili 2, arteta akiwa hana kombe hata moja la maana.

Liverpool wamepata kocha mpya baada ya klopp kuondoka,lakini unaona kabisa ndani ya msimu wa kwanza kocha wao anaonesha uwezo wake wa kutaka kubemba makombe makubwa, na lazima atabeba kabla ya arteta..

Mashabiki wa arsenal Wana midomo sana, utafikiria timu yao ni bora sana, wakati niya kawaida kama Nottingham forest ana UEFA champions mbili nyie hata moja hamna kazi ni midomo tu ngoja tuone kama mtachukua ligi Kwa set pieces
Huyu nae....
 
kamdomooo
Kamdomo ndio kanakowaponza miaka 20 bila Epl, kamdomo kamewafanya toka timu ianzishwe hakuna kombe lolote la ulaya sio Uefa, Europa wala Conference league mloshinda, kamdomo ndio kamemsababisha Arteta msimu wa 8 huu na Arsenyo hakuna kombe lolote aliloshinda zaidi ya Mwanafa.
Kamdomooo, kamdomooo, kamdomooo.
Ila kuwatwanga Man U huwa kuna raha sana...mechi ya nne mfululizo tukikutana ni makonzi ya ulimi tu mnapata.....safari hii mkapigwa kwa style mpya ya Kona goli🤠🤠🤠....Kuna kipindi cha mzee Wenger Ferguson alishawahi kutupangia timu yake kuanzia namba 2 mpk 11 wte ni mabeki tupu na mkatufunga ile iliniuma sana.....Sasa kibao kimegeuka....bdo January tuna jambo letu na nyny tena.....kajifundisheni kuzuia Kona tena upya halafu mje vinginevyo mtatulaumu tena tu majirani
 
Back
Top Bottom