Tunakobonda vzr tu, wewe had kwenye mabonanza nimekupiga mwaka huu
Kule Carabao nakusubiria pia
Bado huna timu ya kuifunga arsenal
Kama ndani ya dk 94 umepata Kona 0, touches 6 tu Tena touch ya kwanza imekuja dk ya 43,
Hapo nilikosa key players


Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?Ndio ndio kaka wape za usoTunakobonda vzr tu, wewe had kwenye mabonanza nimekupiga mwaka huu
Kule Carabao nakusubiria pia
Bado huna timu ya kuifunga arsenal
Kama ndani ya dk 94 umepata Kona 0, touches 6 tu Tena touch ya kwanza imekuja dk ya 43,
Hapo nilikosa key players
Ujue Liverpool hata hawawazii nyie anamuwaza man cityUnagombania ubingwa kwa kupata alama tatu....na bdo mnazo nyingine unazihitaji majirani....tutazifata OT🤠🤠🤠
Kwahiyo mmehama kwa Ode na Mr Sauces kuwa ndo key players😃😃😃Magalhaes angekuepo ni kweli mngekufa mkono
Na sisi hatuwazi kabisa kufungwa na nyny maana tukikutana ni kama huwa tunapiga tizi training ground...January mjiandae majirani tunakutana tena...hatutaki visingizioUjue Liverpool hata hawawazii nyie anamuwaza man city
Toka nafasi ya 13 halafu njoo tuongeeKwahiyo mmehama kwa Ode na Mr Sauces kuwa ndo key players😃😃😃
Karibu tena mwamba!! maana flano alishaanza kunenepaManjesta bhana waliingia kwenye box la Arsenal mara 6 tu ndani ya dk 94
Hii ni record toka mwaka 2017 ambapo manjesta waliingia mara chache kwenye box la mpinzani,ilikuwa dhidi ya Arsenal
Yaani kila baada ya dk 15 ndio manjesta wanafika mara moja kwenye box la Arsenal
Ni timu ambayo Kwenye usajili imetumia zaidi ya €200m
Baada ya mechi 5 atakonda Tena maana ni vipigo tuKaribu tena mwamba!! maana flano alishaanza kunenepa
Hivi Ile mechi ya Liverpool msimu wa 2021/22 waliyopigwa 4-0 Anfield waliingia langoni Mara ngapi?Manjesta bhana waliingia kwenye box la Arsenal mara 6 tu ndani ya dk 94
Hii ni record toka mwaka 2017 ambapo manjesta waliingia mara chache kwenye box la mpinzani,ilikuwa dhidi ya Arsenal
Yaani kila baada ya dk 15 ndio manjesta wanafika mara moja kwenye box la Arsenal
Ni timu ambayo Kwenye usajili imetumia zaidi ya €200m
Wewe safari hii hutakuwa na maisha marefu humu ndani utakimbia sababu i can tell you this time tumepata kocha ni suala la muda tu.Baada ya mechi 5 atakonda Tena maana ni vipigo tu