Team yako ikiwa mbovu kila opponent utasema wanakukaziaHua nashangaa sana hizi timu. Naona wanaugua ugonjwa wa akili..timu yako ina pointi 9 eti unakutana na man utd unaikazia ndo unajifanya kucheza kwa speed na patern ..naona hii ni kuoshea tu hawana uwezo wowote, wangekua wanacheza hivi wangekua huko top 3 wanagmbania top 3 na akina liverpool..
Tukirud kwa man utd timu nzima inatakiwa kufukuzwa ama aachwe Diallo tu. ..fukuza takaktaka zote.
" Kama tukijaribu kushinda michezo na kutohatarisha chochote kwenye muda huu , Nina uhakika mwaka ujao kwenye hatua kama hii tutakuwa na matatizo yaleyale " 

| Ruben Amorim: "I think my players were thinking too much during the game. You could feel it. Just two days [with the full squad]."