Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 1,195
- 1,467
Rúben Amorim has involved 16 year old defender Godwill Kukonki as part of his first training session at Man United today.#MUFC [@FabrizioRomano]
Rúben Amorim has involved 16 year old defender Godwill Kukonki as part of his first training session at Man United today.#MUFC [@FabrizioRomano]Daaah kocha hana phase km za arsenal....safiRúben Amorim on winning the league:
I hear a lot of people saying it would take 4 to 5 years for United to win the league. It's won't take me that long. I have the Aura to win games before it starts. Let's see if I can win it this year. If not, I will win it next year.
Ruben amorim amekuja kumnyoosha kipara wa mancity.Huyu jamaa natamani sana afanikiwe mapema maana sio kwa kuongea uko. Pep alianza ligi na wachezaji alioachiwa watu wakawa wanajipigia tu hadi alipopewa watu wake ndio akaanza kushinda mechi wakati anavuta cigar.
Na iwe hivyo. Huyu naye akipoteana, naachana na hii timu mazima.Ruben amorim amekuja kumnyoosha kipara wa mancity.
Amorim: "It's Manchester United, you feel the weight of history despite the last few years and you want to be part of it. If you win here, it will be different from any other club in England. 
Ruben Amorim says he hopes to have a 'strong position' on transfer dealings.
In meetings this week, the players have been warned about their lifestyles away from the pitch and what is expected of them as professionals.

| Ruben Amorim on his style: 

| Rúben Amorim: "We have space to grow as a team, and we need to improve in a lot of areas. We are changing in the middle of the season with a different way of playing. We need to improve the physical aspect of the team."Akipoteana option ya mwisho ni Hansi flick. 😁Na iwe hivyo. Huyu naye akipoteana, naachana na hii timu mazima.
Timu yetu mkuu, mimi mwenyewe naona nitapumzika kuishabikia.Na iwe hivyo. Huyu naye akipoteana, naachana na hii timu mazima.
Kauli ya kishujaa sana hiiRúben Amorim on winning the league:
I hear a lot of people saying it would take 4 to 5 years for United to win the league. It's won't take me that long. I have the Aura to win games before it starts. Let's see if I can win it this year. If not, I will win it next year.
Hapa kwenye physical aspect na ku-track back amesema kweli ambayo kila shabiki wa United anaiona kila siku kwenye mechi zetu. Lakini 10Hag yeye alikuwa anajali kushinda carabao tu mwisho wa msimu.| Rúben Amorim: "We have space to grow as a team, and we need to improve in a lot of areas. We are changing in the middle of the season with a different way of playing. We need to improve the physical aspect of the team."

- Rúben Amorim on Mason Mount: