Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#MICHEZO: Nyota wa Liverpool raia wa Misri Mo Salah amesema anakaribia kuondoka klabuni hapo kutokana na mkataba wake kufikia ukingoni

“Tayari tunaikaribia Disemba lakini sijapokea ofa yeyote mpaka sasa ya kuongeza mkataba na kuendelea kusalia hapa , naipenda sana Liverpool nawapenda mashabiki wake na kwangu mimi haijawahi kutokea klabu bora kama Liverpool lakini mwisho wasiku hili lipo nje ya uwezo wangu’’ Mo Salah

Nyota huyo mwenye umri wa miaka 32 mkataba wake utafika tamati Juni 2025 alijiunga na Liverpool 2017 akitokea AS Roma mpaka sasa ameisaidia klabu yake kubeba EPL 2020, UCL 2019 na msimu huu amecheza mechi zote 12 ndani ya EPL huku akifunga magoli 10 na assist 6 na kuiweka klabu yake kileleni mwa msimamo wa ligi.

#Michezo #Hainakuchoka #EastAfricaTV
 
Screenshot 2024-11-25 at 14.03.27.png
 
🔵👀 Pep Guardiola: “I have the feeling that this season we will do very, VERY GOOD things”.

“I don't give up, and I have the feeling that we will be there”.
 
Ruben amorim amekuja kumnyoosha kipara wa mancity.
Hatafanikiwa kwa sababu 90% ya kikosi chake hakina Tena future.

Ruben Amorim anatakiwa aanzishe project mpya kwa kuwatumia.

Onana, Maguire, Yoro na Lisandro na Mazroui kwenye defence yake.

Midfield ambakize Ugarte na Mainoo peke yake wengine aingi pale academy apate wachezaji wawili watatu.

Kwenye attack huku fumua wote Leta watu wanaoweza kutumia akili badala ya nguvu.
 
Jamaa wapo organized vibaya mno wanapress kwa pattern inaonekana kabisa Wana speed Yani dah safi sana. Nafurahi kuwaangalia kwa kweli hapa ndo naona kipara alikua tapeli ila Hawa Manchester kazi kocha anayo Tena kubwa sana. Wavivu ni wengi mno
Tatizo halikuwa kocha
 
Hatafanikiwa kwa sababu 90% ya kikosi chake hakina Tena future.

Ruben Amorim anatakiwa aanzishe project mpya kwa kuwatumia.

Onana, Maguire, Yoro na Lisandro na Mazroui kwenye defence yake.

Midfield ambakize Ugarte na Mainoo peke yake wengine aingi pale academy apate wachezaji wawili watatu.

Kwenye attack huku fumua wote Leta watu wanaoweza kutumia akili badala ya nguvu.
Hilo nalijua inahitaji mda Kwa amorimi maana tuna wachezaji wengi walio wavivu sana na Kwa hii beki tatu yake anahitaji kubaki na prayer watakao fiti kwenye mfumo wake tu.
 
Kocha la ball huyu hapa anaenda zake Leicester City kukabidhiwa mikoba ya Steve Cooper.

"Jiwe walilolikataa waashi Linaenda kuwa jiwe kuu la pembeni. Neno hili limetoka kwa BWANA, Nalo ni ajabu machoni petu."

0_Ruud-van-Nistelrooy-File-Photo.jpg
 
Back
Top Bottom