Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hajui alichoandika. Naamini kuna wachezaji utd walishindwa kuperform kutokana na mifumo ya kocha kutokueleweka. Mfano ni Sancho akiwa utd hakuna kitu akitoka kwa mkopo anacheza vizuri. ETH alipoteza kujiamini kwa wachezaji na timu ilipoteza hamasa wachezaji hasa forward walipoteza muunganiko likawa bora liende.
Hujawahi kusikia mikataba inavunjwa?
 
🚨🚨 Antony will NOT travel to the Ballon d’Or ceremony as he has been informed by the French Football Association that he will not win.
Dahh! Huyu nwana anasikitisha sana
Yani mtu anakwambia kabisa usije kwenye sherehe, maana hutopata diko...
Kwa maana nyingine huyo mtu anakupenda hataki upoteze muda wako wa kusafiri bure
 
Msimu huu makombe ndio basi tena, Baba Ubaya alikua anajichukulia zake makombe kwa steps.
Msimu wake wa kwanza kabeba Carabao, Msimu ulioisha kachukua FA, msimu huu tulikua tunabeba Europa kabisaaa, ni vile tu figisufigisu za Masingeli na genge lake wamemlisha maneno tajiri mwembamba Sir James Arthur Ratcliffe mpaka kamla kichwa baba wa watu. View attachment 3137380
nimecheka kifala
 
Ukitaka kujua jamaa alichanganyikiwa kufikia huku mwishoni ni jinsi alivyokua anapata matokeo mabovu ila anajibu kwa kujiamini na dharau, na anasema akifukuzwa ataenda kuchukua makombe kwingine.
Eti nitaenda kuchukua vikombe kwingine
Yani kama vile alikuwa anawapiga biting, yani mkinifukuza mtajuta
 
Hajui alichoandika. Naamini kuna wachezaji utd walishindwa kuperform kutokana na mifumo ya kocha kutokueleweka. Mfano ni Sancho akiwa utd hakuna kitu akitoka kwa mkopo anacheza vizuri. ETH alipoteza kujiamini kwa wachezaji na timu ilipoteza hamasa wachezaji hasa forward walipoteza muunganiko likawa bora liende.
Kwani Sasa hivi Sancho anacheza vizuri huko aliko ?
 
Hajui alichoandika. Naamini kuna wachezaji utd walishindwa kuperform kutokana na mifumo ya kocha kutokueleweka. Mfano ni Sancho akiwa utd hakuna kitu akitoka kwa mkopo anacheza vizuri. ETH alipoteza kujiamini kwa wachezaji na timu ilipoteza hamasa wachezaji hasa forward walipoteza muunganiko likawa bora liende.
Ulikuwa umeanza vizuri sana, ila ulipomtaja sanchoka!!😅🙌
 
🚨🚨 Antony will NOT travel to the Ballon d’Or ceremony as he has been informed by the French Football Association that he will not win.
Masebene si huyu hapa jana hiyo
20241029_011840.jpg
 
Ten hag kaondoka lkn katuachia moja ya sajili masterpiece kuwahi kutokea kwenye history ya nyumbu yunaited...jamaa game yake ya kwanza akawafunga yatima fc nyumbu zikajua zimepata mtu kumbe zilipigwa 🤣🤣🤣🤣
1000289090.jpg
 
Manchester United have presented a three-year contract to Ruben Amorim, with a salary of €7/8m per year. #MUFC [@abolapt]
 
Ruben Amorim has given initial green light to Manchester United. He's keen on joining the club, accepting the project and the terms discussed. #MUFC [@FabrizioRomano]
 
Ruben Amorim has given initial green light to Man United. He's keen on joining the club, accepting the project and the terms discussed.

Amorim respects Sporting... and so it depends on club to club negotiation now.

Exit clause for top clubs is around €10m.
 
Ten hag kaondoka lkn katuachia moja ya sajili masterpiece kuwahi kutokea kwenye history ya nyumbu yunaited...jamaa game yake ya kwanza akawafunga yatima fc nyumbu zikajua zimepata mtu kumbe zilipigwa View attachment 3138062
Sajili mbovu zaidi kwangu mimi naona ni lile galasa lenu mlilotupiga kwa £60m, halafu mbaya zaidi likapewa mpaka jezi ya heshima number 7.
Usajili wa Freemason ulikua ni daylight robbery, kwanza chezaji lenyewe kila likicheza mechi 2 lazima liende likakae MOI miezi mitatu, laana ya kutudhumulu hio pesa yetu haitawaacha salama kenge nyinyi.
images-1.jpg
 
Back
Top Bottom