Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah mzee kipara roho imeniuma sana presha ilikuwa kubwa sana huku mwishoni

Dah timu yetu hii sijui hataiweza nani.

Thanks Eric Ten Hag👋
Screenshot_20241028-134914.png
 
Dah Wamemla kichwa Jasusi letu !!! ila mchango wake tumeuona kama angebaki miezi miwili tu zaidi... Azam wangeanza kuangalia ni kwa namna gani wanaweza wakapata haki miliki ya kuonyesha Ligi Daraja la kwanza la Uingereza(Championship).
 
Kuna kipindi hali mbaya wakamuongezea mkataba.

Halafu kila kocha anayefananishwa na Arteta anafukuzwa.

Ole, De Zerbi, Chuck Norris,

Sasa mchukueni Fabian au yule Nagelsman
 
Back
Top Bottom