Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 712
- 1,300
Nyumbu akicheza mashabiki wake duniani kote wanalia mooo mooo wanataka dume
Wataifuta baadae hiyo kadi .epl wanakelaVAR ina maana gani ikiwa inashindwa kupinga uamuzi wa referee pindi anapotoa kadi nyekundu kwa dhulma
Dalot ni beki.Dalot yeye na goli lililowazi kapiga nje, ten Hag ana matatizo yake ila pia wachezaji nao wana matatizo makubwa tu
Ndo kwanza mmeanza ligi. TuliaHuyu ETH tukiendelea kumchekea, atatushusha daraja kiuta utani tu.
Nenda kakojoe ulaleDalot ni beki.
Beki akikosa goli haina haja kumlaumu sana. Forwards zenu ni miyeyusho
Umerudi mzeeKwenye msimamo wa ligi siwaoni
Kuna mtu ananiambia ni clear caches ndio mnaonekana ni ya kweli haya?
Usikute mnashiriki ligi za ngamia huko Saudia ,maana kwa msimamo siwaoni
Hasira hasaraNenda kakojoe ulale
HUyu kocha apewe mkataba wa milele, imagine game zote hizo ana lose mbili tu. Sisi man u tuna imani na kocha wetu.
Reporter; La professor 7+3hag wachezaji gani uliwahitaji, hawakuletea?Wazeee wazeeee
Mnashuka daraja safari hii

