Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah Wamemla kichwa Jasusi letu !!! ila mchango wake tumeuona kama angebaki miezi miwili tu zaidi... Azam wangeanza kuangalia ni kwa namna gani wanaweza wakapata haki miliki ya kuonyesha Ligi Daraja la kwanza la Uingereza(Championship).
 
Thank you for the trophies we won together Erik ten Hag, we wish you all the best🎈
20241028_140711.jpg
 
Kuna kipindi hali mbaya wakamuongezea mkataba.

Halafu kila kocha anayefananishwa na Arteta anafukuzwa.

Ole, De Zerbi, Chuck Norris,

Sasa mchukueni Fabian au yule Nagelsman
 
Back
Top Bottom