Asa mbona mikataba yao bado ni mirefu sanaUgarte
Malacia
Mount
Anthony
Martinez
Zirkzee
Yoro
De Ligt
Hawa wanaondoka. Walikuja kwa tamaa za Erik kuliko uwezo.
Hojlund na Onana wasipostep up wanaondoka
Chaguo la WILCOX, kipara alitaka kubaki na scott.Ugarte
Arteta ni kocha?Kuna kipindi hali mbaya wakamuongezea mkataba.
Halafu kila kocha anayefananishwa na Arteta anafukuzwa.
Ole, De Zerbi, Chuck Norris,
Sasa mchukueni Fabian au yule Nagelsman
Dah roho imeniuma sana Mimi kama mfihadhina ,
Nani Tena atatupa furaha
ETH ameonewa


Msimu huu makombe ndio basi tena, Baba Ubaya alikua anajichukulia zake makombe kwa steps.
HapanaArteta ni kocha?
Hajui alichoandika. Naamini kuna wachezaji utd walishindwa kuperform kutokana na mifumo ya kocha kutokueleweka. Mfano ni Sancho akiwa utd hakuna kitu akitoka kwa mkopo anacheza vizuri. ETH alipoteza kujiamini kwa wachezaji na timu ilipoteza hamasa wachezaji hasa forward walipoteza muunganiko likawa bora liende.Asa mbona mikataba yao bado ni mirefu sana