Na bdo alhamisi Porto halafu j2 villa...pambafu kabisa kutwa kushinda kwny majukwaa ya watu....mngekuwa mnatumia ule mda kumtumia email ten hag juu ya mbinu mbalimbali za kuchezesha timu pengine leo mngekuwa pale top of ze tebo🤠🤠🤠...ARV na Flano wake hapa wasijifanye wako kazini...watuambie vzuri mna mpango gani msimu huu...au mmeshajipanga kusemwa mpk mwsho wa ligiSasa hivi timu inayofungwa au kusuluhu na United ndio inaonekana dhaifu sasa.
Tushazoea kufungwa siku hivi hadi tumekuwa sugu.
Wachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first elevenErik mwanzoni pia alionekana sahihi
Na ndo bounce back kihivyo
Katika wachezaji uliotaja kwamba wanaanzia benchi wote siyo goal scorer wazuri sana.Wachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first eleven
Wewe subiri kwa kutulia, harvetz anawasalimiaWachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first eleven