Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbe bounce back aliisema 🤣🤣🤣

Screenshot_2024-09-30-08-24-04-449_com.twitter.android-edit.jpg
 
Sasa hivi timu inayofungwa au kusuluhu na United ndio inaonekana dhaifu sasa.
Tushazoea kufungwa siku hivi hadi tumekuwa sugu.
Na bdo alhamisi Porto halafu j2 villa...pambafu kabisa kutwa kushinda kwny majukwaa ya watu....mngekuwa mnatumia ule mda kumtumia email ten hag juu ya mbinu mbalimbali za kuchezesha timu pengine leo mngekuwa pale top of ze tebo🤠🤠🤠...ARV na Flano wake hapa wasijifanye wako kazini...watuambie vzuri mna mpango gani msimu huu...au mmeshajipanga kusemwa mpk mwsho wa ligi
 
Erik mwanzoni pia alionekana sahihi
Wachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first eleven
 
Wachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first eleven
Katika wachezaji uliotaja kwamba wanaanzia benchi wote siyo goal scorer wazuri sana.

Kocha wenu amejua hili mapema. Amejua kwamba hakuna defense nzuri hivyo ni bora awe na scorers huku defense ya kuungaunga hii itamaanisha anashinda bila clean sheet.

Akiwaweka hao atafungwa, mtakua na chances created nyingi na kosakosa nyingi.
 
Wachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first eleven
Wewe subiri kwa kutulia, harvetz anawasalimia
 
Ten hag akihukumiwa kwa pesa aliyotumia kwenye usajili itakuwa anaonewa, katumia pesa nyingi ila ni bad allocation of money, kwanza hana jicho la kuona wachezaji sahihi kwenye mfumo wake, kiufupi sio kocha wa kufanya rebuild kama walivyo kina Pep, klopp na arteta, ila ni mwalimu mzuri kimbinu.

Alijichanganya badala ya kutrust the process akawa result oriented, msimu wake wa kwanza anaifunga Arsenal 3-1 kwa counter attacking football, nilishangaa kwa kocha aliyetoka Ajax kupendelea vertical football, nilitegemea kuona mpira wa Ajax & Amsterdam kama Cruyff & Rinus Michels na hofu yangu ilikuwa hapa Man u kuwa timu aina ya Ajax, ila akaja na idea ya verticality philosophy, Amsterdamers wanashinda mechi kwa process, specific composition of players for long term stability, sasa kapoteza miaka miwili leo ndio anaamua kuianza hiyo process wakati watu washachoka, INEOS wakichoka ameenda na maji.
 
Ajax hupendelea kucheza 433 toka enzi za total voetbal, inawezakana haikuanzia kwao ila Jdp inakubali sana kwenye huu mfumo, i dont like double pivot, wajanja hu invert players kumsaidia holding midfielder kwenye duties zote, Rest defence na progression. Sipendi timu inayo build play kupitia kwenye flanks, unajitengenezea mazingira magumu wewe mwenyewe,

Mara Maino aswitch to CM position mara DM, ukizingatia structure haipo compact na bado una wachezaji wengi ambao si technically secured, wanagive away very easy balls, timu inafungwa magoli ya kijinga, solution ilikuwa ni kupata a proper holding mid achana na Ugarte, mbele ukawa na lcm na Rcm, receivers, huyu atafukuzwa kazi kwa vitu vya kijinga ambavyo vipo ndani ya uwezo wake, kwani aliwezaje pale Ajax paka wanafika Semis UCL?
 
Back
Top Bottom