Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,413
- 2,358
Huyu jasusi akisalia kwenye hii timu,ushindi tusahau!
Niliangalia man u dhidi ya liverpool na leo dhidi ya Spurs, naona kuna shida ya Character na mentality kuliko tactical intent.
confidence hamna kwa wachezaji, kitu kinachoharibu hata mawasiliano uwanjani, mpira unapotea wachezaji wakitegeana maana kila mmoja anadhani mwenziye ataufuata. mfano game ya leo Rashford na dalot na huku kwa mazraoui na Garnacho ilitokea incidence kama hii
Wachezaji wanasubiri mpira ufike mguuni, nakubali kuna wale 'on to feet players' kama Bernado silva ila ni muhimu kuzingatia intense ya wapinzani off ball kabla hujasubiri mpira ufike mguuni, hii tabia anayo Rashford na Zirkzee. Madhara ya kusubiri mpira mguuni dhidi ya timu kama liverpool & spurs ni kujikuta mna transit phases every time and then.
Commitment ndio tatizo kubwa, casemiro, ugarte, de ligt hata da lot kuna muda wanakosea kupiga pasi, wengine hawataki kutract back opposition's offensive transition, wanadhani sio jukumu lao, wanakuwa overloaded in their box na kuruhusu magoli kirahisi. kuna clip Fabian hurzeler anawafundisha Brighton umuhimu wa kuwa pamoja togetherness na kuyabeba makosa ya teammates, Man u hawafanyi hivi.
Luxury players, kama ilivyokuwa kipindi cha Ole soskjaer, kina Ronaldo, pogba na bruno, leo hii pia wapo kina Rashford, Garnacho na Bruno, Zirkzee somehow anajitahidi off ball duties lakini sio kila mara naye namuongeza kwenye luxury players, hakuna timu inawezakuwa compact kama kuna wachezaji wengi wapo luxury, madhara yake ni makubwa kuliko unavyofikiri
Haya ni machahce niliyoyaona, sio ya kimbinu ila ni ya msingi fundamentals.
Rashford anajiona sio mkabaji, jamaa yupo luxury sana, yule Johnson angeweza kufunga hat trick alikuwa free sana, dalot akimantain back four shape, Rashford anasubiri mpira mbele, anashindwa ku track back moves za huyu dogo anatamba tu kwenye zone yake.Niliangalia man u dhidi ya liverpool na leo dhidi ya Spurs, naona kuna shida ya Character na mentality kuliko tactical intent.
confidence hamna kwa wachezaji, kitu kinachoharibu hata mawasiliano uwanjani, mpira unapotea wachezaji wakitegeana maana kila mmoja anadhani mwenziye ataufuata. mfano game ya leo Rashford na dalot na huku kwa mazraoui na Garnacho ilitokea incidence kama hii
Wachezaji wanasubiri mpira ufike mguuni, nakubali kuna wale 'on to feet players' kama Bernado silva ila ni muhimu kuzingatia intense ya wapinzani off ball kabla hujasubiri mpira ufike mguuni, hii tabia anayo Rashford na Zirkzee. Madhara ya kusubiri mpira mguuni dhidi ya timu kama liverpool & spurs ni kujikuta mna transit phases every time and then.
Commitment ndio tatizo kubwa, casemiro, ugarte, de ligt hata da lot kuna muda wanakosea kupiga pasi, wengine hawataki kutract back opposition's offensive transition, wanadhani sio jukumu lao, wanakuwa overloaded in their box na kuruhusu magoli kirahisi. kuna clip Fabian hurzeler anawafundisha Brighton umuhimu wa kuwa pamoja togetherness na kuyabeba makosa ya teammates, Man u hawafanyi hivi.
Luxury players, kama ilivyokuwa kipindi cha Ole soskjaer, kina Ronaldo, pogba na bruno, leo hii pia wapo kina Rashford, Garnacho na Bruno, Zirkzee somehow anajitahidi off ball duties lakini sio kila mara naye namuongeza kwenye luxury players, hakuna timu inawezakuwa compact kama kuna wachezaji wengi wapo luxury, madhara yake ni makubwa kuliko unavyofikiri
Haya ni machahce niliyoyaona, sio ya kimbinu ila ni ya msingi fundamentals.
Me si writer, this is how i make moneyKifupi tu timu hii INALAANA nguvu za kuandika Uzi Mrefu unatoa wapi?
Hivi karibia msimu wa 3 huu bado anatengeneza kikosi?Chelsea ilikuwa ya hovyo sasa hivi tunaona kila siku wanabadilikaErik anasema chochote kinachotokea sasa alishakubaliana na uongozi kwamba atahitaji muda kujenga kikosi.
Hivyo anajua timu nzima, wachezaji mpaka uongozi na yeye wanaelewa kwanini matokeo yapo hivi.
Leo sijamsikia ile "Stick to the plan, bounce back"
Tofauti yetu na Man u pamoja ya kuwa tulifanya vibaya but tukaamua kusajili wachezaji wazuri na kumleta kocha sahihiHivi karibia msimu wa 3 huu bado anatengeneza kikosi?Chelsea ilikuwa ya hovyo sasa hivi tunaona kila siku wanabadilika
Hii timu Mimi nishaacha kushabikia na kuangalia mechi zake toka Kitambo , siamini siku hizi sijui hata sijui Man U huwa inacheza lini nashangaa naona watu kwenye status na hata ikifungwa nipo fresh siumii na kuiwazia kama Zamani.Kifupi tu timu hii INALAANA nguvu za kuandika Uzi Mrefu unatoa wapi?
Erik mwanzoni pia alionekana sahihiTofauti yetu na Man u pamoja ya kuwa tulifanya vibaya but tukaamua kusajili wachezaji wazuri na kumleta kocha sahihi
"Eras must come to an end", alisema kocha mmoja matata.🫣Sasa hivi timu inayofungwa au kusuluhu na United ndio inaonekana dhaifu sasa.
Tushazoea kufungwa siku hivi hadi tumekuwa sugu.
Na bdo alhamisi Porto halafu j2 villa...pambafu kabisa kutwa kushinda kwny majukwaa ya watu....mngekuwa mnatumia ule mda kumtumia email ten hag juu ya mbinu mbalimbali za kuchezesha timu pengine leo mngekuwa pale top of ze tebo🤠🤠🤠...ARV na Flano wake hapa wasijifanye wako kazini...watuambie vzuri mna mpango gani msimu huu...au mmeshajipanga kusemwa mpk mwsho wa ligiSasa hivi timu inayofungwa au kusuluhu na United ndio inaonekana dhaifu sasa.
Tushazoea kufungwa siku hivi hadi tumekuwa sugu.
Wachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first elevenErik mwanzoni pia alionekana sahihi