whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
Na ndo bounce back kihivyo
Kmamaee, kocha la makocha
Na ndo bounce back kihivyo
Katika wachezaji uliotaja kwamba wanaanzia benchi wote siyo goal scorer wazuri sana.Wachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first eleven
Wewe subiri kwa kutulia, harvetz anawasalimiaWachezaji wakiwa hawana ubora maana yake nini watajituma sana and the end itahitajika Quality na consistent performance hapo ndio utajua ilikuwa nguvu ya soda but kwa Enzo Maresca kaletewa watu wamaana we fikiria Neto, Jaoa felix, Nkuku, Mudryk wanaanzia benchi wakati kwa team kama zingine wanaanza first eleven